Kwamba mchungaji/Askofu akikemea uovu wa wanasiasa anakuwa amejiondoa kwenye orodha ya watumishi wa Mungu? Kumbe Askofu alifanya hivyo anafutwa kiroho na Mkuu wa mkoa?
Yohana Mbatizaji alimkemea Herode sababu ya mauaji ya mdogo wake ili kumpata mkewe. Matokeo yake akahukumiwa kifo cha kukatwa kifo.
Lakini Mungu hadhihakiwi, atashughulika na wehu wote wanaompangia cha kufanya.
Ukiona wanaanz kukejeli viongozi wa dini ujue mwisho wao unakaribiaKwamba mchungaji/Askofu akikemea uovu wa wanasiasa anakuwa amejiondoa kwenye orodha ya watumishi wa Mungu? Kumbe Askofu alifanya hivyo anafutwa kiroho na Mkuu wa mkoa?
Yohana Mbatizaji alimkemea Herode sababu ya mauaji ya mdogo wake ili kumpata mkewe. Matokeo yake akahukumiwa kifo cha kukatwa kifo.
Lakini Mungu hadhihakiwi, atashughulika na wehu wote wanaompangia cha kufanya.
Kanyimwa akili kapewa makalio makubwaaa.
Ameamua kumtusi Mungu wake hadharani.Haya makelele ya Makonda ni kilio cha mtu anayekaribia kukata roho yaani Sakaratul Maut.
Halafu yakimzidi anaenda kujiliza makanisaniAmeamua kumtusi Mungu wake hadharani.
Akikwama anaenda kanisani kuombewa
Ngoja tuone mwisho wake
Hata hao watakaomuombea tena kazi wanayo mbele za Mungu aliyeitwa hana demokrasiaHalafu yakimzidi anaenda kujiliza makanisani
Ila wakipewa bahasha wanaweza wakasamehe na kua wapoleUkiona wanaanz kukejeli viongozi wa dini ujue mwisho wao unakaribia
alikuwa anamfuta rafiki yake mwamaposa, kwasababu ni mwanasiasa na tapeli.Kwamba mchungaji/Askofu akikemea uovu wa wanasiasa anakuwa amejiondoa kwenye orodha ya watumishi wa Mungu? Kumbe Askofu alifanya hivyo anafutwa kiroho na Mkuu wa mkoa?
Yohana Mbatizaji alimkemea Herode sababu ya mauaji ya mdogo wake ili kumpata mkewe. Matokeo yake akahukumiwa kifo cha kukatwa kifo.
Lakini Mungu hadhihakiwi, atashughulika na wehu wote wanaompangia cha kufanya.