Mungu si Athuman

[SUB]......Kwa haya maswali ya methali na nahau, nidhahiri Wengi mlienda shule kwasababu mna nguo mpya na mmemis kupewa pocket money. Wengi shule imewaacha Kama ukuu wa mkoa dar.[/SUB]

[SUB]"Nawasilisha wagaa gaa na upya"[/SUB]
 
Kwa sababu Athuman ana roho mbaya sana na chuki za kutisha dhidi ya binadamu wenzie. Athuman hata kama kakuzidi kiwango cha maisha akisikia umepata kidogo ananuna na kufura kupita kiasi 😜😜😜

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…