Bsyotyo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2022
- 617
- 996
Habarini Ndugu. Najua hii Itakuwa Mpya Kwenu na Siku zote itawafungua Macho wengi nyie Mliowekwa kwenye Giza Kubwa na Kuishia Kuabudu Viumbe vyenye Tamaa ya Kujiita Mungu
Hizi ni Sifa za Mungu mwenye Vyote. Aliyeumba Kila Kitu Na Kila Kiumbe Vinavyoonekana Kwa Macho na Visivyoonekana. Tuanze
1. Mungu haongei
Mungu mwenye Vyote unavyoviona haongei maana Hana Mfumo wa Kuongea kama Wewe na Mimi tunavyoongea. Ili Mungu aongee anatakiwa Awepo Mungu mwingine aliye kama Yeye Wa Kufanya Naye Maongezi
Siku zote amefanya Mambo yake kwa Ukimya na Ameumba Viumbe Wanaoongea ..wanaosema sema..wasiosikia..wasioona..wasiotembea..wasio na Miguu.. Amefanya Viumbe wa Kila Aina ukiwemo wewe Mwanadamu unayejipa Priority sana
2. Mungu hapendi na Wala hana Mapenzi na Viumbe wake
Mungu Ana Enzi tu na Viumbe wake ila Hana Mapenzi na Viumbe wake. Mapenzi yanatokana na Mapendo wanayoonyeshana Viumbe kwa Viumbe. Wewe binadamu utampenda Binadamu mwenzako na Huyo ndie utakayemuonyesha Mapenzi. Mungu hana Hicho kitu kwamba Kampenda Binadamu sana Kuliko Kuku. Kampenda sana malaika kuliko Shetani.. Kampenda sana Konokono kuliko Bacteria. Yeye ana Enzi na Viumbe wake wooote hana Mapenzi na Viumbe wake hata Mmoja
3. Mungu si Mmoja Na Wala Si Wengi
Wingi na Umoja Umetokana na Viumbe Kujua Namba baada ya Namba Kuanza Kutumika ndipo Hesabu za Wingi na Umoja Zilipoanza. Mungu hayupo katika Mahesabu Yenu. Anapoitwa Mwenye Enzi Mungu(Mwenyezi Mungu) hahesabiki kwa Hatua zenu kwamba Ni Moja au Mbili. Maana Yeye Hayupo katika Uhesabikaji huo mlionao Nyie. Maana hata Hesabu hazina Mwisho ukianza Kuhesabu 0 1 2 3 4 5. Hutokuja kupata Namba ya Mwisho
4. Mungu si Mkubwa wala si Mdogo
Utasikia watu wanasema Mungu wetu ni mkubwa. Ni makosa maana Mungu hana Size utakayoweza Kumpima na Kusema ana Ukubwa Huu au Udogo Huu. Mungu hayupo Hivyo. Yaani huwezi kusema Mungu kaanzia Hapa na Kaishia Hapa
5. Mungu haonekani
Mungu haonekani kwa sababu hayupo katika Mithili ya Rangi. Ili ww binadamu uone
6. Mungu si Mzima wala si Mfu
Mungu hana Uzima maana Hana Mwili na Wala si Mfu. Uzima ni wa Mwili
7. Mungu si Hai
Mungu si Hai kwa sababu haishi na Hatumii Roho. Uzima wa Mwili ndani yake ndio kuna Roho (memory card) ambayo ndio unapata Neno Kuishi.
8. Mungu si Mme wala Mke
Mungu si Mme kwa sababu siyo Bwana. Mme au Bwana ni Jinsia iliyoanza Katika uzazi, kwa sababu neno Bwana Linaanzisha Uzazi.. Si mke pia kwa Sababu si Bibi mzaliwa. Hawa ndio huleta Watoto kwahiyo Mungu hajakaa Kama Bwana Wala Bibi
9. Mungu si Mshiriki
Mungu si Mshriki kwa Maana Kwamba Hashirikiani na Kiumbe Chochote kile kwa Mambo yake. Mungu hatumi wala kutuma Kiumbe Kikafanye Kazi zake . Hii Ikiwa na Maana Ya Kwamba Kushirikiana ni Viumbe kwa Viumbe sisi ndio tunashirikiana katika Mambo Yetu ya Hapa na Pale kwa Ajili ya Kutimiza Mahitaji Yetu
10. Mungu si Kiumbe
Mungu si kiumbe kwa Maana Hakuumbwa. Viumbe ndio wameumbika.
Elimu hii Imetoka kwa Mtu wa Kwanza na Watoto wake na Kurithiwa na Vizazi mpaka Leo hii na Haijapotea
Sasa Mtafuteni Huyo Mnayemwabudu leo hii Muone kama Anakaa Humo,Ukikuta Hawapo hivyo Jua Kwamba Mnaabudu Viumbe. Maana baada ya Upotevu kutokea Katika Muhula wa Kumi na Mbili. Ibada za Viumbe zilishamiri Ulimwenguni. Viumbe kwa Viumbe Vikitaka Kutawalana na Kijikweza Na Kujiita Mungu
Mashetani, Malaika na Binadamu n.k n.k wengi wametaka Kuabudiwa kuwa ni Mungu
1. Binadamu waliwafanya Binadamu wengine Wawaite Mungu na Wakatawala Miaka Hiyo. Wafalme wengi walichonga Sanamu na Kuwaamuru Binadamu Wenzao Wawaite Mungu na Kusujudu. na Baadhi Ya Binadamu (Hasa Manabii na Mitume) kuwaambia Binadamu Wengine kwamba Wao wametumwa na Mungu, ikiwa uhalisia Hawajatumwa na Mungu ila Wametumwa na Wakuu wao wenyewe kwa Maslahi yao Binafsi
2. Hivyo hivyo kwa Mashetani (Majini) nao waliwafanya wenzao kuwaabudu na kuna Visa Vingine viliandikwa hadi kwenye Vitabu vya Dini kwamba Walipigana Huko kwenye Kutawala kwao na Mmoja Akafukuzwa Huko Kwa Kukataa Baadhi Ya Mambo ya Mtawala wake Mkubwa
3. Hivyo hivyo Malaika Nao Wanatawala zao na Wakubwa wao.. Ndio pia Huweza Kuja na Kufanya Vyovyote kwa Viumbe Wengine na Kuwatawala.Mfano mzuri Ni Kuwatokea Binadamu Na Kuwaambia Wafanye Hivi au Vile huku wakijinadi Wametumwa Na Mungu.. Kama Ww unavyotawala Viumbe wengine
HUU NDIO UKWELI UTAKAWAWEKA HURU AKILI ZENU NA MAISHA YENU KWA UJUMLA
Hizi ni Sifa za Mungu mwenye Vyote. Aliyeumba Kila Kitu Na Kila Kiumbe Vinavyoonekana Kwa Macho na Visivyoonekana. Tuanze
1. Mungu haongei
Mungu mwenye Vyote unavyoviona haongei maana Hana Mfumo wa Kuongea kama Wewe na Mimi tunavyoongea. Ili Mungu aongee anatakiwa Awepo Mungu mwingine aliye kama Yeye Wa Kufanya Naye Maongezi
Siku zote amefanya Mambo yake kwa Ukimya na Ameumba Viumbe Wanaoongea ..wanaosema sema..wasiosikia..wasioona..wasiotembea..wasio na Miguu.. Amefanya Viumbe wa Kila Aina ukiwemo wewe Mwanadamu unayejipa Priority sana
2. Mungu hapendi na Wala hana Mapenzi na Viumbe wake
Mungu Ana Enzi tu na Viumbe wake ila Hana Mapenzi na Viumbe wake. Mapenzi yanatokana na Mapendo wanayoonyeshana Viumbe kwa Viumbe. Wewe binadamu utampenda Binadamu mwenzako na Huyo ndie utakayemuonyesha Mapenzi. Mungu hana Hicho kitu kwamba Kampenda Binadamu sana Kuliko Kuku. Kampenda sana malaika kuliko Shetani.. Kampenda sana Konokono kuliko Bacteria. Yeye ana Enzi na Viumbe wake wooote hana Mapenzi na Viumbe wake hata Mmoja
3. Mungu si Mmoja Na Wala Si Wengi
Wingi na Umoja Umetokana na Viumbe Kujua Namba baada ya Namba Kuanza Kutumika ndipo Hesabu za Wingi na Umoja Zilipoanza. Mungu hayupo katika Mahesabu Yenu. Anapoitwa Mwenye Enzi Mungu(Mwenyezi Mungu) hahesabiki kwa Hatua zenu kwamba Ni Moja au Mbili. Maana Yeye Hayupo katika Uhesabikaji huo mlionao Nyie. Maana hata Hesabu hazina Mwisho ukianza Kuhesabu 0 1 2 3 4 5. Hutokuja kupata Namba ya Mwisho
4. Mungu si Mkubwa wala si Mdogo
Utasikia watu wanasema Mungu wetu ni mkubwa. Ni makosa maana Mungu hana Size utakayoweza Kumpima na Kusema ana Ukubwa Huu au Udogo Huu. Mungu hayupo Hivyo. Yaani huwezi kusema Mungu kaanzia Hapa na Kaishia Hapa
5. Mungu haonekani
Mungu haonekani kwa sababu hayupo katika Mithili ya Rangi. Ili ww binadamu uone
6. Mungu si Mzima wala si Mfu
Mungu hana Uzima maana Hana Mwili na Wala si Mfu. Uzima ni wa Mwili
7. Mungu si Hai
Mungu si Hai kwa sababu haishi na Hatumii Roho. Uzima wa Mwili ndani yake ndio kuna Roho (memory card) ambayo ndio unapata Neno Kuishi.
8. Mungu si Mme wala Mke
Mungu si Mme kwa sababu siyo Bwana. Mme au Bwana ni Jinsia iliyoanza Katika uzazi, kwa sababu neno Bwana Linaanzisha Uzazi.. Si mke pia kwa Sababu si Bibi mzaliwa. Hawa ndio huleta Watoto kwahiyo Mungu hajakaa Kama Bwana Wala Bibi
9. Mungu si Mshiriki
Mungu si Mshriki kwa Maana Kwamba Hashirikiani na Kiumbe Chochote kile kwa Mambo yake. Mungu hatumi wala kutuma Kiumbe Kikafanye Kazi zake . Hii Ikiwa na Maana Ya Kwamba Kushirikiana ni Viumbe kwa Viumbe sisi ndio tunashirikiana katika Mambo Yetu ya Hapa na Pale kwa Ajili ya Kutimiza Mahitaji Yetu
10. Mungu si Kiumbe
Mungu si kiumbe kwa Maana Hakuumbwa. Viumbe ndio wameumbika.
Elimu hii Imetoka kwa Mtu wa Kwanza na Watoto wake na Kurithiwa na Vizazi mpaka Leo hii na Haijapotea
Sasa Mtafuteni Huyo Mnayemwabudu leo hii Muone kama Anakaa Humo,Ukikuta Hawapo hivyo Jua Kwamba Mnaabudu Viumbe. Maana baada ya Upotevu kutokea Katika Muhula wa Kumi na Mbili. Ibada za Viumbe zilishamiri Ulimwenguni. Viumbe kwa Viumbe Vikitaka Kutawalana na Kijikweza Na Kujiita Mungu
Mashetani, Malaika na Binadamu n.k n.k wengi wametaka Kuabudiwa kuwa ni Mungu
1. Binadamu waliwafanya Binadamu wengine Wawaite Mungu na Wakatawala Miaka Hiyo. Wafalme wengi walichonga Sanamu na Kuwaamuru Binadamu Wenzao Wawaite Mungu na Kusujudu. na Baadhi Ya Binadamu (Hasa Manabii na Mitume) kuwaambia Binadamu Wengine kwamba Wao wametumwa na Mungu, ikiwa uhalisia Hawajatumwa na Mungu ila Wametumwa na Wakuu wao wenyewe kwa Maslahi yao Binafsi
2. Hivyo hivyo kwa Mashetani (Majini) nao waliwafanya wenzao kuwaabudu na kuna Visa Vingine viliandikwa hadi kwenye Vitabu vya Dini kwamba Walipigana Huko kwenye Kutawala kwao na Mmoja Akafukuzwa Huko Kwa Kukataa Baadhi Ya Mambo ya Mtawala wake Mkubwa
3. Hivyo hivyo Malaika Nao Wanatawala zao na Wakubwa wao.. Ndio pia Huweza Kuja na Kufanya Vyovyote kwa Viumbe Wengine na Kuwatawala.Mfano mzuri Ni Kuwatokea Binadamu Na Kuwaambia Wafanye Hivi au Vile huku wakijinadi Wametumwa Na Mungu.. Kama Ww unavyotawala Viumbe wengine
HUU NDIO UKWELI UTAKAWAWEKA HURU AKILI ZENU NA MAISHA YENU KWA UJUMLA