Mungu tumuache aitwe Mungu

Mungu tumuache aitwe Mungu

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,904
Reaction score
4,902
*Mungu tumuache aitwe Mungu. Jana Dawasco wakajimwambafai wee. Mara ooh kuanzia kesho jiji la Dar es salaam litakumbwa na uhaba wa Maji. Mara mtunze akiba ya maji mliyo nayo majumbani mwenu vizuri.Kiko wapi sasa yaani Mwenyezi Mungu kawasikiliza weee akaleta sasa maji kwa njia ya Mvua kiasi kwamba Hata hao dawasco pa kupita kwenda kukata hayo maji yenyewe wameshindwa*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom