Mungu wa Mbinguni ninakuomba uepushe mbali Ole Sabaya asirejeshwe ktk nafasi za uongozi

Mungu wa Mbinguni ninakuomba uepushe mbali Ole Sabaya asirejeshwe ktk nafasi za uongozi

Samia akipata ujumbe huu kesho asubuhi anatangazwa!! Watu wa Mungu walipokuwa wakimshukuru Mungu wao kwa kuwaondolea makonda kwenye maisha yao mara mama akawasikia, na siku hiyohiyo akampa ukuu juu ya watu hao, kuna namna huyu mama anatudharau sana.
 
Naona CCM wanaongeza genge lao nguvu Ili wazidi kuwa poteza watanzania wenzao...
 
Unamuogopa bure tu. Ww fanya kazi zako

Btw, karejea mbona labda tu hujui kama hujui karejea
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
kwa Neema na Baraka za Mungu yote yanawezekana kwake yeye atutiaye nguvu, na sio kwa ujanja wetu, bali kwa Neema na Baraka zake...

kumbuka,
mamlaka zote za ulimwengu zinatoka kwa Mungu.Uongozi ni Neema kutoka kwa Mungu sio kwa mihemko yako 🐒
 
Sabaya hana ubaya ila wakuu wake ndio wanaubaya ,jingine hakuwa anashida alikuwa anatumbua watu so akatumbuliwa
 
Kama Makonda amerudi nae atarudi, ni watu wenye msimamo na wazalendo. Nashangaa ni kwa nini mpaka sasa hajarudi.
Makonda sio mbaya na wala sio katili. Ni watu wachache tu wameshindwa kumuelewa. Makonda ni mtendaji mzuri sana , anajiamini na pia anathamini utu na maisha ya watu. Pia Makonda pamoja na mikwaya yake yote lakini ukimchunguza sana utagundua ni mtu mwenye imani na hofu ya Mungu.

Ila SABAYA kwakweli hapana
 
Sabaya hana ubaya ila wakuu wake ndio wanaubaya ,jingine hakuwa anashida alikuwa anatumbua watu so akatumbuliwa
Wewe nadhani ndie yule Shemeji yetu. Hebu acha watu baki ndio wamzungumzie na sio nyie familia
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Too late sasa hivi ni team Magufuli bro,wote watarudi Kizimkazi washamzidi maalifa
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Mungu atuepushe. Itakuwa Mungu kalichoka hili Taifa.
 
Back
Top Bottom