SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Labda kamaanisha mchumba wake wewe ni adui yake ulimwonaje mwonajeKuna wakati status yake ya WhatsApp aliandika hilo jina hapo " SweetyCandy".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kamaanisha mchumba wake wewe ni adui yake ulimwonaje mwonajeKuna wakati status yake ya WhatsApp aliandika hilo jina hapo " SweetyCandy".
Anaweza kuwa mkuu wa wilaya au mkoa ila sio mbungeSabaya ameshafungwa kwa zaidi ya miezi 6 hivyo kupoteza sifa za kuwa kiongozi wa umma.
Ameeeen!Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Daaah haya bhana kweli ili uwe mzalendo hii ncho uwe na record ya ukatili iko siku watatema bungo uzuri mungu sio Majaliwa wala NchimbiKama Makonda amerudi nae atarudi, ni watu wenye msimamo na wazalendo. Nashangaa ni kwa nini mpaka sasa hajarudi.
Nilisoma mahala kwamba lengo ni kurejesha lile jeshi la magu coz maza haoni mbele njema kwa mwenendo wa sasa, na kwamba itakuwa ni undava undava.... yale mambo ya matajiri kuisoma namba yanarudi!... nimesikia lakiniKwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Makonda ana imani na hofu ya munguMakonda sio mbaya na wala sio katili. Ni watu wachache tu wameshindwa kumuelewa. Makonda ni mtendaji mzuri sana , anajiamini na pia anathamini utu na maisha ya watu. Pia Makonda pamoja na mikwaya yake yote lakini ukimchunguza sana utagundua ni mtu mwenye imani na hofu ya Mungu.
Ila SABAYA kwakweli hapana
Maombi yako yamefika mbele ya Wana Jf, ngoja tuyachambuwe kabla hayajafika kwa mzee wa siku.Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.