Mungu wa Mbinguni ninakuomba uepushe mbali Ole Sabaya asirejeshwe ktk nafasi za uongozi

Mungu wa Mbinguni ninakuomba uepushe mbali Ole Sabaya asirejeshwe ktk nafasi za uongozi

Sabaya anakuja kuwa RC Dar es Salaam, waovu wote walioshiriki mateso ya wananchi wakati wa awamu ya tano wanarudishwa kwenye mfumo
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Ameeeen!
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Nilisoma mahala kwamba lengo ni kurejesha lile jeshi la magu coz maza haoni mbele njema kwa mwenendo wa sasa, na kwamba itakuwa ni undava undava.... yale mambo ya matajiri kuisoma namba yanarudi!... nimesikia lakini
 
Makonda sio mbaya na wala sio katili. Ni watu wachache tu wameshindwa kumuelewa. Makonda ni mtendaji mzuri sana , anajiamini na pia anathamini utu na maisha ya watu. Pia Makonda pamoja na mikwaya yake yote lakini ukimchunguza sana utagundua ni mtu mwenye imani na hofu ya Mungu.

Ila SABAYA kwakweli hapana
Makonda ana imani na hofu ya mungu

Alivyowaita wale wa mama wakiotelekezwa na waume zao na yule mal***ya binti akasema mtt wa nje wa lowassa bro yule jamaa alivyokua mtt alikua na autism unajua wengi wenye autism wana matatizo ya kutopenda kusikiliza wenzao kuona wao wanauwezi kuliko wengine iyo by nature.
 
Kwa maslahi ya haki za binadamu mwenyezi Mungu zuia harakati zozote za kumrejesha mtu huyu. Kama ni suala la Maisha basi MJAALIE NEEMA ZINGINE lakini sio za UONGOZI.
Maombi yako yamefika mbele ya Wana Jf, ngoja tuyachambuwe kabla hayajafika kwa mzee wa siku.
 
Back
Top Bottom