Mungu yupo jamani natena anatenda na kujibu maombi

Mungu yupo jamani natena anatenda na kujibu maombi

hmaloh

Senior Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
162
Reaction score
314
Asalaam aleykum wana jf wengine itifaki imezingatiwa,leo nimeamua kuja na hii mada yakuwa Mungu yupo na anafanya kazi katika Kila sekunde ya saa kama hauamini basi nikwasababu tu umekataa kuamini kuwa yeye yupo na anatenda (God is almighty) pia haangalii dini wala dhehebu ila Imani yako thabiti tu itakukutanisha naye achana na wale wapuuzi wanaojiita atheists ukifatilia sana unaweza ukawakuta wana matatizo ya afya ya akili.Nakumbuka 2022 huo mwaka ndo nilijua yeye yupo na tena anatenda siwezi kufunguka yote kwasababu nitajaza server za jf,ila trust me yakuwa Mungu yupo na anatenda ila kama mtahitaji ushuhuda nipo tayari kuutoa
 
Hata bila ushuhuda mi naamini pia kuwa Mungu yupo na anatenda
Ila Mungu hapendi lugha Kali uliyotumia dhidi ya wale wasio amini kama wewe
 
Mungu yupo. Na miungu mingine mingi sana ipo pia. Hapa inategemea wewe unamwabudu mungu yupi.
Mungu muumbaji wa mbingu na nchi na vyote JEHOVA yupo anaona, anasikia na kujibu kwa wakati.
 
Asalaam aleykum wana jf wengine itifaki imezingatiwa,leo nimeamua kuja na hii mada yakuwa Mungu yupo na anafanya kazi katika Kila sekunde ya saa kama hauamini basi nikwasababu tu umekataa kuamini kuwa yeye yupo na anatenda (God is almighty) pia haangalii dini wala dhehebu ila Imani yako thabiti tu itakukutanisha naye achana na wale wapuuzi wanaojiita atheists ukifatilia sana unaweza ukawakuta wana matatizo ya afya ya akili.Nakumbuka 2022 huo mwaka ndo nilijua yeye yupo na tena anatenda siwezi kufunguka yote kwasababu nitajaza server za jf,ila trust me yakuwa Mungu yupo na anatenda ila kama mtahitaji ushuhuda nipo tayari kuutoa
Umeanza vema ila umeharibu kuwaita wasioamini uwepo wake ni wapuuzi.....umekosea.

Mungu yupo na anatenda makuu kwa tunaomuamini na kumuomba kwa imani, maana yake hii ni imani tunaamini na tunafanikiwa.

Kuna mtu haamini kama Mungu yupo, Imani yake ipo kwa mganga anatumia dawa zake na anafanikiwa imani yake ndio inamsaidia.

Heshimu imani yako na usibeze imani ya mtu mwingine, kikubwa shikamana na Mungu wako ya wengine waachie yao.
 
Asalaam aleykum wana jf wengine itifaki imezingatiwa,leo nimeamua kuja na hii mada yakuwa Mungu yupo na anafanya kazi katika Kila sekunde ya saa kama hauamini basi nikwasababu tu umekataa kuamini kuwa yeye yupo na anatenda (God is almighty) pia haangalii dini wala dhehebu ila Imani yako thabiti tu itakukutanisha naye achana na wale wapuuzi wanaojiita atheists ukifatilia sana unaweza ukawakuta wana matatizo ya afya ya akili.Nakumbuka 2022 huo mwaka ndo nilijua yeye yupo na tena anatenda siwezi kufunguka yote kwasababu nitajaza server za jf,ila trust me yakuwa Mungu yupo na anatenda ila kama mtahitaji ushuhuda nipo tayari kuutoa
Ushuhuda hata kidogo imani zetu ziongezeke maradufu[emoji847]
 
Back
Top Bottom