Ahsante kwa kufungua hii mail. Nimatumaini yangu utapata muda wa kunisikiliza na kuguswa kiasi cha kunishauri haraka iwezekanavyo kwani hali ni mbaya...
Nalazimika kuanza kwa maelezo yafuatayo ili base of argument and the problem itself ieleweke.
Sisi tumezaliwa watatu wote wakiwa ni wannaume (1978,1980,1985), Baba ni Mtanzania na Mama ni mtanzania. Tulilelewa kenya wote baada ya kuwa mama alikuwa ana fanya kazi kama mwalimu wa HIgh School kule. Baba alikuwa anafanya kazi kama mwalimu pia lakini 1985 aliachishwa kazi baada ya kuwa mlevi na mgomvi mgomvi tofauti na nidhamu ya taaluma inavyotaka. Alipoachishwa kazi mama akawa yeye ndiyo bread winner wa familia. In 1987 baba alituaga kwamba anakwenda nyumbani (TZ) atakuja baada ya wiki moja huyo ukawa mwanzo wa story iliyojaa Hasira, maudhi, kilio, hofu, upweke n.k. maishani mwa kila mmoja wetu.
Wiki moja ikazaa mwezi, mwaka, miaka 2,5, 10 hadi 13.
Ndani ya maika hii yote mateso mama aliyopitia sipati maneno ya kutosha kuelezea, maana hata niandikapo hii post roho inauma sana. Alifanya kila awezalo kutuelimisha, kutulisha, kutuvisha na kutulea katika maadili mema. Alijinyima kila aina ya starehe ili tupate mahitaji yetu, alijituma hadi kununua ngombe wa maziwa ili kujiongezea kipato cha kuendesha familia huku gharama zingine zikimuelemea, kidogo kidogo akapata shamba la eka mbili hili likawa tulizo kwani tulilima vyakula na kahawa ambayo ilimsaidia kulipa ada za shule kwa sisi wote. Yalikuwa ni maisha ya taabu sana, Namshukuru mungu hamna kati yetu aliyemuongezea maudhi kwa kuhitaji kisichowezekana. Raha nyingi za ujanani tulizikosa kwani hela ya kuvaa vizuri, kusoma shule bora, kula vizuri, na vitu vingine vizuri vizuri ambavyo wenzetu walikuwa wakivipata hatukapata, T.V. yenyewe hatukuwa nayo, radio ilikuwa ni hadi betri zipatikane sana sana mwisho wa mwezi. Hali iliendelea hivyo hadi mimi nilipomaliza Form 4 ilibidi nimpumzishe mama kwa kualisha miaka miwili ili wadogo zangu wapate ada ya kumalizia masomo yao. Nilibaki nyumbani na mama yangu nikiwa kama house boy sasa kwani kazi zote zilikuwa zangu mama akienda shule. Hapo ndo mama hata afya yake ikiwa afadhali kwani alipata mda wa kupumzika. Baada ya miaka miwili nikapata nafasi ya kujiunga na college ya Printing and Press Operation, mama akauza ngombe mmoja ilinipate fees ya kujiunga, kweli nikajitahidi kadri ya uwezo wangu na baada ya miaka miwili nikahitimu kwa CREDIT jambo ambalo lilimtia mama furaha sana.
Mapenzi kama upofu fulani
Katika kupekua barua zake, mama akakuta barua ya zamani sana ikitokea Tanzania. Mama akapata wazo la kufatilia senders postal address ili kujua hatma ya Baba kwani kwa kipindi chote hichi hatujawahi kusikia lolote kutoka kwake. Mara nyingi tulifikir kwamba kafa. Akakusanya hela ya kutosha na kutuaga kwamba anakwenda kumtafuta baba. Alifanikiwa kuja hadi Dar es Salaam na baada ya kufuatilia mwenye anuani ya barua akabahatika kufika kwa Baba Mkubwa wangu. Baba alipatwa na shock ya kufa mtu baada ya kumkuta mama kule jioni aliporudi. Alishindwa cha kusema na kujielezea ikabaki ameduwaa. Baada ya maongezi na mealewano ikaeleweka kwamba lazima sisi (watoto) turudi kwenye chimbuko letu (TANZANIA) ukizingatia wote ni wakiume. Basi mama akarudi na kutupa habari yote, ilikuwa vingumu kuamini na kuelewa eti baada ya miaka Ishirini na Miwili tungeweza kuondoka na kuacha kila kitu lakini kutokana na kuweka furaha ya mama mbele ikabidi tukubaliane nalo.
BABA ANARUDI
Baada ya mwezi mmoja toka mama arudi toka Dar es salaam. Baba akawasili, lakini tofauti na mategemeo yetu alikuwa hafanani na mafanikio ambayo tulidhani angekuwa nayo baada ya miaka yote hiyo. Tukampokea na kuamini huu ndo mwanzo mpya wa maisha na familia kwa ujumla. Cha kushangaza wote wawili waliamua kuuza kila kitu ambacho mama yangu alikuwa nacho ilikuja Tanzania waanze upya. Hiyo kwangu ilikuwa dalili ya baba hayupo hali njema ki fedha. Tukauza kila kitu na kuhamia Tanzania. Fedha iliyopatikana ndiyo ikawa kianzio, ikumbukwe mama hajastaafu hivyo ukasukwa mpango ahamishiwe shule jirani na mpaka wa TARIME na KENYA ili aweze kumalizia miaka yake na kupata pension yake. Mama akawa anakwenda asubuhi Kenya anafundisha na jioni anarejea Tanzania. Mshahara wake ukawa unalisha familia kwa sababu Baba hana kazi, mshahara huo huo ukawa unatumika kuwalipia wadogo zangu shule za sekondari hapa Tanzania. Baada ya miaka miwili mama akaja na idea ya kuanzisha shule, ikabidi baba atumie uwenyeji wake na wakapata eneo, mama akatoa hela ikawa kodi ya jengo na baby care class ikaanzishwa. Mama akalazimika kupata mkopo ilikuwezesha Baby Class itabuke ikiwa pamoja na huduma zake, waalimu wawili, uji na chakula cha mchana vikawa vivutio vvya vya wanafunzi kuongezeka. Pakawa na ongezeko kubwa la wanafunzi hadi wazo likawa kuanzisha shule kubwa. Basi Mama aakarudi benki tena na kuchukua mkopo mkubwa zaidi, likapatikana eneo kubwa na majengo matatu yakajengwa.
Wazazi wangu walienda hatua moja mbele wakafunga ndoa kanisani, hili lilitokea baada ya kubaini baba anawatoto wengine hapa Dar es salaam. (3 watatu wakike 1 dume) baba alibisha sana na kumshawishi mama kwamba ili aamini yupo naye tu na hana mpango wa kado basi wafunge ndoa.. Mama alipostaafu pension yake ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba Baba akawa anaitamani. Akaanza visa kwamba haheshimiki kwenye familia kwa sababu hana kazi maalum, akaanza kumlaumu mama eti ndiye anayeharibu familia, eti anatushawishi sisi watoto tudharau baba. Haya yote kwa sababu baba anapenda sana pombe, mara kadhaa amekutwa na vimwana akijirusha, hadi disko, aibu kweli kwa mama na familia kwani wote ni watu wazima na mama ni mzee wa kanisa. Sasa sisi hatukulelewa katika misingi ya ulevi na kujirusha kiasi hicho lazim tutofautiane naye. Lakini hili likawa chanzop cha kuleta vurugu za kumnyima mama usingizi. Ili kumtuliza mama akamnunulia Canter ambayo angeweza kufanyia biashara ya kusafirisha samaki na mazao, yeye akawa akipata hela haonekani nyumbani analewa hadi mtaji, zikiisha analianzisha nyumbani ili apate hela na kuendelea na ufuska wake. Upande wa pili shule imehsakuwa ngumzo katika wilaya ya MARA, kwani hivi sasa ina Boarding na DAY hadi darasa la SABA, ina magari matatu ya kusafirisha watoto na zaidi ya yote matokeo yake yamekuwa ngumzo MARA nzima. Kwa miaka miwili mfululizo imekuwa imeshikilia nafasi ya kwanza wilayani na kufaulisha wanafunzi asilimia 85%. Credit zote ni kwa mama kwa sababu she has been behind the steering all the way. Baba kazi kubwa bi kunywa na kuspend. Anaiba hadi ATM kadi ya account ya shule na ku draw hela bila ridhaa ya mtu yeyote an kuspend anavyotaka.
Sasa ametangaza kwamba vyote ni vyake, nyumba, magari shule kila kitu ni chake. Anauwezo wa kufanya chochote awezalo bila ushauri wa yeyote yule. Mimi nimeoa na nina motto mmoja hapa DAR, mdogo wangu ameoa ni mwalimu na ana mtoto mmoja anaishi nyumbani tarime, mdogo wetu wa mwisho yupo SAUT Mwanza mwaka wa tatu. Kwangu na wote tunaamini huku nikumuonea mama kwani jasho lote ni lake.
SWALI LANGU NI JINSI GANI NITAMUOKOA MAMA ILI?
Kumuajibisha baba kwani ni dhahili siyo responsible but in human?
Mali ziwe salama?
Baba asiweze kuuza au kuingia mkataba wowote bila kuhusisha familia yote.?
Kumdhibiti baba asifanye vurugu?
Kuhakikisha nia ya mama kwamba vyote vifaidi watoto wa tumbo lake tu litimie.?
Ahsante kwa kufungua hii mail. Nimatumaini yangu utapata muda wa kunisikiliza na kuguswa kiasi cha kunishauri haraka iwezekanavyo kwani hali ni mbaya...
Nalazimika kuanza kwa maelezo yafuatayo ili base of argument and the problem itself ieleweke.
Sisi tumezaliwa watatu wote wakiwa ni wannaume (1978,1980,1985), Baba ni Mtanzania na Mama ni mtanzania. Tulilelewa kenya wote baada ya kuwa mama alikuwa ana fanya kazi kama mwalimu wa HIgh School kule. Baba alikuwa anafanya kazi kama mwalimu pia lakini 1985 aliachishwa kazi baada ya kuwa mlevi na mgomvi mgomvi tofauti na nidhamu ya taaluma inavyotaka. Alipoachishwa kazi mama akawa yeye ndiyo bread winner wa familia. In 1987 baba alituaga kwamba anakwenda nyumbani (TZ) atakuja baada ya wiki moja huyo ukawa mwanzo wa story iliyojaa Hasira, maudhi, kilio, hofu, upweke n.k. maishani mwa kila mmoja wetu.
Wiki moja ikazaa mwezi, mwaka, miaka 2,5, 10 hadi 13.
Ndani ya maika hii yote mateso mama aliyopitia sipati maneno ya kutosha kuelezea, maana hata niandikapo hii post roho inauma sana. Alifanya kila awezalo kutuelimisha, kutulisha, kutuvisha na kutulea katika maadili mema. Alijinyima kila aina ya starehe ili tupate mahitaji yetu, alijituma hadi kununua ngombe wa maziwa ili kujiongezea kipato cha kuendesha familia huku gharama zingine zikimuelemea, kidogo kidogo akapata shamba la eka mbili hili likawa tulizo kwani tulilima vyakula na kahawa ambayo ilimsaidia kulipa ada za shule kwa sisi wote. Yalikuwa ni maisha ya taabu sana, Namshukuru mungu hamna kati yetu aliyemuongezea maudhi kwa kuhitaji kisichowezekana. Raha nyingi za ujanani tulizikosa kwani hela ya kuvaa vizuri, kusoma shule bora, kula vizuri, na vitu vingine vizuri vizuri ambavyo wenzetu walikuwa wakivipata hatukapata, T.V. yenyewe hatukuwa nayo, radio ilikuwa ni hadi betri zipatikane sana sana mwisho wa mwezi. Hali iliendelea hivyo hadi mimi nilipomaliza Form 4 ilibidi nimpumzishe mama kwa kualisha miaka miwili ili wadogo zangu wapate ada ya kumalizia masomo yao. Nilibaki nyumbani na mama yangu nikiwa kama house boy sasa kwani kazi zote zilikuwa zangu mama akienda shule. Hapo ndo mama hata afya yake ikiwa afadhali kwani alipata mda wa kupumzika. Baada ya miaka miwili nikapata nafasi ya kujiunga na college ya Printing and Press Operation, mama akauza ngombe mmoja ilinipate fees ya kujiunga, kweli nikajitahidi kadri ya uwezo wangu na baada ya miaka miwili nikahitimu kwa CREDIT jambo ambalo lilimtia mama furaha sana.
Mapenzi kama upofu fulani
Katika kupekua barua zake, mama akakuta barua ya zamani sana ikitokea Tanzania. Mama akapata wazo la kufatilia senders postal address ili kujua hatma ya Baba kwani kwa kipindi chote hichi hatujawahi kusikia lolote kutoka kwake. Mara nyingi tulifikir kwamba kafa. Akakusanya hela ya kutosha na kutuaga kwamba anakwenda kumtafuta baba. Alifanikiwa kuja hadi Dar es Salaam na baada ya kufuatilia mwenye anuani ya barua akabahatika kufika kwa Baba Mkubwa wangu. Baba alipatwa na shock ya kufa mtu baada ya kumkuta mama kule jioni aliporudi. Alishindwa cha kusema na kujielezea ikabaki ameduwaa. Baada ya maongezi na mealewano ikaeleweka kwamba lazima sisi (watoto) turudi kwenye chimbuko letu (TANZANIA) ukizingatia wote ni wakiume. Basi mama akarudi na kutupa habari yote, ilikuwa vingumu kuamini na kuelewa eti baada ya miaka Ishirini na Miwili tungeweza kuondoka na kuacha kila kitu lakini kutokana na kuweka furaha ya mama mbele ikabidi tukubaliane nalo.
BABA ANARUDI
Baada ya mwezi mmoja toka mama arudi toka Dar es salaam. Baba akawasili, lakini tofauti na mategemeo yetu alikuwa hafanani na mafanikio ambayo tulidhani angekuwa nayo baada ya miaka yote hiyo. Tukampokea na kuamini huu ndo mwanzo mpya wa maisha na familia kwa ujumla. Cha kushangaza wote wawili waliamua kuuza kila kitu ambacho mama yangu alikuwa nacho ilikuja Tanzania waanze upya. Hiyo kwangu ilikuwa dalili ya baba hayupo hali njema ki fedha. Tukauza kila kitu na kuhamia Tanzania. Fedha iliyopatikana ndiyo ikawa kianzio, ikumbukwe mama hajastaafu hivyo ukasukwa mpango ahamishiwe shule jirani na mpaka wa TARIME na KENYA ili aweze kumalizia miaka yake na kupata pension yake. Mama akawa anakwenda asubuhi Kenya anafundisha na jioni anarejea Tanzania. Mshahara wake ukawa unalisha familia kwa sababu Baba hana kazi, mshahara huo huo ukawa unatumika kuwalipia wadogo zangu shule za sekondari hapa Tanzania. Baada ya miaka miwili mama akaja na idea ya kuanzisha shule, ikabidi baba atumie uwenyeji wake na wakapata eneo, mama akatoa hela ikawa kodi ya jengo na baby care class ikaanzishwa. Mama akalazimika kupata mkopo ilikuwezesha Baby Class itabuke ikiwa pamoja na huduma zake, waalimu wawili, uji na chakula cha mchana vikawa vivutio vvya vya wanafunzi kuongezeka. Pakawa na ongezeko kubwa la wanafunzi hadi wazo likawa kuanzisha shule kubwa. Basi Mama aakarudi benki tena na kuchukua mkopo mkubwa zaidi, likapatikana eneo kubwa na majengo matatu yakajengwa.
Wazazi wangu walienda hatua moja mbele wakafunga ndoa kanisani, hili lilitokea baada ya kubaini baba anawatoto wengine hapa Dar es salaam. (3 watatu wakike 1 dume) baba alibisha sana na kumshawishi mama kwamba ili aamini yupo naye tu na hana mpango wa kado basi wafunge ndoa.. Mama alipostaafu pension yake ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba Baba akawa anaitamani. Akaanza visa kwamba haheshimiki kwenye familia kwa sababu hana kazi maalum, akaanza kumlaumu mama eti ndiye anayeharibu familia, eti anatushawishi sisi watoto tudharau baba. Haya yote kwa sababu baba anapenda sana pombe, mara kadhaa amekutwa na vimwana akijirusha, hadi disko, aibu kweli kwa mama na familia kwani wote ni watu wazima na mama ni mzee wa kanisa. Sasa sisi hatukulelewa katika misingi ya ulevi na kujirusha kiasi hicho lazim tutofautiane naye. Lakini hili likawa chanzop cha kuleta vurugu za kumnyima mama usingizi. Ili kumtuliza mama akamnunulia Canter ambayo angeweza kufanyia biashara ya kusafirisha samaki na mazao, yeye akawa akipata hela haonekani nyumbani analewa hadi mtaji, zikiisha analianzisha nyumbani ili apate hela na kuendelea na ufuska wake. Upande wa pili shule imehsakuwa ngumzo katika wilaya ya MARA, kwani hivi sasa ina Boarding na DAY hadi darasa la SABA, ina magari matatu ya kusafirisha watoto na zaidi ya yote matokeo yake yamekuwa ngumzo MARA nzima. Kwa miaka miwili mfululizo imekuwa imeshikilia nafasi ya kwanza wilayani na kufaulisha wanafunzi asilimia 85%. Credit zote ni kwa mama kwa sababu she has been behind the steering all the way. Baba kazi kubwa bi kunywa na kuspend. Anaiba hadi ATM kadi ya account ya shule na ku draw hela bila ridhaa ya mtu yeyote an kuspend anavyotaka.
Sasa ametangaza kwamba vyote ni vyake, nyumba, magari shule kila kitu ni chake. Anauwezo wa kufanya chochote awezalo bila ushauri wa yeyote yule. Mimi nimeoa na nina motto mmoja hapa DAR, mdogo wangu ameoa ni mwalimu na ana mtoto mmoja anaishi nyumbani tarime, mdogo wetu wa mwisho yupo SAUT Mwanza mwaka wa tatu. Kwangu na wote tunaamini huku nikumuonea mama kwani jasho lote ni lake.
SWALI LANGU NI JINSI GANI NITAMUOKOA MAMA ILI?
Kumuajibisha baba kwani ni dhahili siyo responsible but in human?
Mali ziwe salama?
Baba asiweze kuuza au kuingia mkataba wowote bila kuhusisha familia yote.?
Kumdhibiti baba asifanye vurugu?
Kuhakikisha nia ya mama kwamba vyote vifaidi watoto wa tumbo lake tu litimie.?
Nalazimika kuanza kwa maelezo yafuatayo ili base of argument and the problem itself ieleweke.
Sisi tumezaliwa watatu wote wakiwa ni wannaume (1978,1980,1985), Baba ni Mtanzania na Mama ni mtanzania. Tulilelewa kenya wote baada ya kuwa mama alikuwa ana fanya kazi kama mwalimu wa HIgh School kule. Baba alikuwa anafanya kazi kama mwalimu pia lakini 1985 aliachishwa kazi baada ya kuwa mlevi na mgomvi mgomvi tofauti na nidhamu ya taaluma inavyotaka. Alipoachishwa kazi mama akawa yeye ndiyo bread winner wa familia. In 1987 baba alituaga kwamba anakwenda nyumbani (TZ) atakuja baada ya wiki moja huyo ukawa mwanzo wa story iliyojaa Hasira, maudhi, kilio, hofu, upweke n.k. maishani mwa kila mmoja wetu.
Wiki moja ikazaa mwezi, mwaka, miaka 2,5, 10 hadi 13.
Ndani ya maika hii yote mateso mama aliyopitia sipati maneno ya kutosha kuelezea, maana hata niandikapo hii post roho inauma sana. Alifanya kila awezalo kutuelimisha, kutulisha, kutuvisha na kutulea katika maadili mema. Alijinyima kila aina ya starehe ili tupate mahitaji yetu, alijituma hadi kununua ngombe wa maziwa ili kujiongezea kipato cha kuendesha familia huku gharama zingine zikimuelemea, kidogo kidogo akapata shamba la eka mbili hili likawa tulizo kwani tulilima vyakula na kahawa ambayo ilimsaidia kulipa ada za shule kwa sisi wote. Yalikuwa ni maisha ya taabu sana, Namshukuru mungu hamna kati yetu aliyemuongezea maudhi kwa kuhitaji kisichowezekana. Raha nyingi za ujanani tulizikosa kwani hela ya kuvaa vizuri, kusoma shule bora, kula vizuri, na vitu vingine vizuri vizuri ambavyo wenzetu walikuwa wakivipata hatukapata, T.V. yenyewe hatukuwa nayo, radio ilikuwa ni hadi betri zipatikane sana sana mwisho wa mwezi. Hali iliendelea hivyo hadi mimi nilipomaliza Form 4 ilibidi nimpumzishe mama kwa kualisha miaka miwili ili wadogo zangu wapate ada ya kumalizia masomo yao. Nilibaki nyumbani na mama yangu nikiwa kama house boy sasa kwani kazi zote zilikuwa zangu mama akienda shule. Hapo ndo mama hata afya yake ikiwa afadhali kwani alipata mda wa kupumzika. Baada ya miaka miwili nikapata nafasi ya kujiunga na college ya Printing and Press Operation, mama akauza ngombe mmoja ilinipate fees ya kujiunga, kweli nikajitahidi kadri ya uwezo wangu na baada ya miaka miwili nikahitimu kwa CREDIT jambo ambalo lilimtia mama furaha sana.
Mapenzi kama upofu fulani
Katika kupekua barua zake, mama akakuta barua ya zamani sana ikitokea Tanzania. Mama akapata wazo la kufatilia senders postal address ili kujua hatma ya Baba kwani kwa kipindi chote hichi hatujawahi kusikia lolote kutoka kwake. Mara nyingi tulifikir kwamba kafa. Akakusanya hela ya kutosha na kutuaga kwamba anakwenda kumtafuta baba. Alifanikiwa kuja hadi Dar es Salaam na baada ya kufuatilia mwenye anuani ya barua akabahatika kufika kwa Baba Mkubwa wangu. Baba alipatwa na shock ya kufa mtu baada ya kumkuta mama kule jioni aliporudi. Alishindwa cha kusema na kujielezea ikabaki ameduwaa. Baada ya maongezi na mealewano ikaeleweka kwamba lazima sisi (watoto) turudi kwenye chimbuko letu (TANZANIA) ukizingatia wote ni wakiume. Basi mama akarudi na kutupa habari yote, ilikuwa vingumu kuamini na kuelewa eti baada ya miaka Ishirini na Miwili tungeweza kuondoka na kuacha kila kitu lakini kutokana na kuweka furaha ya mama mbele ikabidi tukubaliane nalo.
BABA ANARUDI
Baada ya mwezi mmoja toka mama arudi toka Dar es salaam. Baba akawasili, lakini tofauti na mategemeo yetu alikuwa hafanani na mafanikio ambayo tulidhani angekuwa nayo baada ya miaka yote hiyo. Tukampokea na kuamini huu ndo mwanzo mpya wa maisha na familia kwa ujumla. Cha kushangaza wote wawili waliamua kuuza kila kitu ambacho mama yangu alikuwa nacho ilikuja Tanzania waanze upya. Hiyo kwangu ilikuwa dalili ya baba hayupo hali njema ki fedha. Tukauza kila kitu na kuhamia Tanzania. Fedha iliyopatikana ndiyo ikawa kianzio, ikumbukwe mama hajastaafu hivyo ukasukwa mpango ahamishiwe shule jirani na mpaka wa TARIME na KENYA ili aweze kumalizia miaka yake na kupata pension yake. Mama akawa anakwenda asubuhi Kenya anafundisha na jioni anarejea Tanzania. Mshahara wake ukawa unalisha familia kwa sababu Baba hana kazi, mshahara huo huo ukawa unatumika kuwalipia wadogo zangu shule za sekondari hapa Tanzania. Baada ya miaka miwili mama akaja na idea ya kuanzisha shule, ikabidi baba atumie uwenyeji wake na wakapata eneo, mama akatoa hela ikawa kodi ya jengo na baby care class ikaanzishwa. Mama akalazimika kupata mkopo ilikuwezesha Baby Class itabuke ikiwa pamoja na huduma zake, waalimu wawili, uji na chakula cha mchana vikawa vivutio vvya vya wanafunzi kuongezeka. Pakawa na ongezeko kubwa la wanafunzi hadi wazo likawa kuanzisha shule kubwa. Basi Mama aakarudi benki tena na kuchukua mkopo mkubwa zaidi, likapatikana eneo kubwa na majengo matatu yakajengwa.
Wazazi wangu walienda hatua moja mbele wakafunga ndoa kanisani, hili lilitokea baada ya kubaini baba anawatoto wengine hapa Dar es salaam. (3 watatu wakike 1 dume) baba alibisha sana na kumshawishi mama kwamba ili aamini yupo naye tu na hana mpango wa kado basi wafunge ndoa.. Mama alipostaafu pension yake ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba Baba akawa anaitamani. Akaanza visa kwamba haheshimiki kwenye familia kwa sababu hana kazi maalum, akaanza kumlaumu mama eti ndiye anayeharibu familia, eti anatushawishi sisi watoto tudharau baba. Haya yote kwa sababu baba anapenda sana pombe, mara kadhaa amekutwa na vimwana akijirusha, hadi disko, aibu kweli kwa mama na familia kwani wote ni watu wazima na mama ni mzee wa kanisa. Sasa sisi hatukulelewa katika misingi ya ulevi na kujirusha kiasi hicho lazim tutofautiane naye. Lakini hili likawa chanzop cha kuleta vurugu za kumnyima mama usingizi. Ili kumtuliza mama akamnunulia Canter ambayo angeweza kufanyia biashara ya kusafirisha samaki na mazao, yeye akawa akipata hela haonekani nyumbani analewa hadi mtaji, zikiisha analianzisha nyumbani ili apate hela na kuendelea na ufuska wake. Upande wa pili shule imehsakuwa ngumzo katika wilaya ya MARA, kwani hivi sasa ina Boarding na DAY hadi darasa la SABA, ina magari matatu ya kusafirisha watoto na zaidi ya yote matokeo yake yamekuwa ngumzo MARA nzima. Kwa miaka miwili mfululizo imekuwa imeshikilia nafasi ya kwanza wilayani na kufaulisha wanafunzi asilimia 85%. Credit zote ni kwa mama kwa sababu she has been behind the steering all the way. Baba kazi kubwa bi kunywa na kuspend. Anaiba hadi ATM kadi ya account ya shule na ku draw hela bila ridhaa ya mtu yeyote an kuspend anavyotaka.
Sasa ametangaza kwamba vyote ni vyake, nyumba, magari shule kila kitu ni chake. Anauwezo wa kufanya chochote awezalo bila ushauri wa yeyote yule. Mimi nimeoa na nina motto mmoja hapa DAR, mdogo wangu ameoa ni mwalimu na ana mtoto mmoja anaishi nyumbani tarime, mdogo wetu wa mwisho yupo SAUT Mwanza mwaka wa tatu. Kwangu na wote tunaamini huku nikumuonea mama kwani jasho lote ni lake.
SWALI LANGU NI JINSI GANI NITAMUOKOA MAMA ILI?
Kumuajibisha baba kwani ni dhahili siyo responsible but in human?
Mali ziwe salama?
Baba asiweze kuuza au kuingia mkataba wowote bila kuhusisha familia yote.?
Kumdhibiti baba asifanye vurugu?
Kuhakikisha nia ya mama kwamba vyote vifaidi watoto wa tumbo lake tu litimie.?
Ahsante kwa kufungua hii mail. Nimatumaini yangu utapata muda wa kunisikiliza na kuguswa kiasi cha kunishauri haraka iwezekanavyo kwani hali ni mbaya...
Nalazimika kuanza kwa maelezo yafuatayo ili base of argument and the problem itself ieleweke.
Sisi tumezaliwa watatu wote wakiwa ni wannaume (1978,1980,1985), Baba ni Mtanzania na Mama ni mtanzania. Tulilelewa kenya wote baada ya kuwa mama alikuwa ana fanya kazi kama mwalimu wa HIgh School kule. Baba alikuwa anafanya kazi kama mwalimu pia lakini 1985 aliachishwa kazi baada ya kuwa mlevi na mgomvi mgomvi tofauti na nidhamu ya taaluma inavyotaka. Alipoachishwa kazi mama akawa yeye ndiyo bread winner wa familia. In 1987 baba alituaga kwamba anakwenda nyumbani (TZ) atakuja baada ya wiki moja huyo ukawa mwanzo wa story iliyojaa Hasira, maudhi, kilio, hofu, upweke n.k. maishani mwa kila mmoja wetu.
Wiki moja ikazaa mwezi, mwaka, miaka 2,5, 10 hadi 13.
Ndani ya maika hii yote mateso mama aliyopitia sipati maneno ya kutosha kuelezea, maana hata niandikapo hii post roho inauma sana. Alifanya kila awezalo kutuelimisha, kutulisha, kutuvisha na kutulea katika maadili mema. Alijinyima kila aina ya starehe ili tupate mahitaji yetu, alijituma hadi kununua ngombe wa maziwa ili kujiongezea kipato cha kuendesha familia huku gharama zingine zikimuelemea, kidogo kidogo akapata shamba la eka mbili hili likawa tulizo kwani tulilima vyakula na kahawa ambayo ilimsaidia kulipa ada za shule kwa sisi wote. Yalikuwa ni maisha ya taabu sana, Namshukuru mungu hamna kati yetu aliyemuongezea maudhi kwa kuhitaji kisichowezekana. Raha nyingi za ujanani tulizikosa kwani hela ya kuvaa vizuri, kusoma shule bora, kula vizuri, na vitu vingine vizuri vizuri ambavyo wenzetu walikuwa wakivipata hatukapata, T.V. yenyewe hatukuwa nayo, radio ilikuwa ni hadi betri zipatikane sana sana mwisho wa mwezi. Hali iliendelea hivyo hadi mimi nilipomaliza Form 4 ilibidi nimpumzishe mama kwa kualisha miaka miwili ili wadogo zangu wapate ada ya kumalizia masomo yao. Nilibaki nyumbani na mama yangu nikiwa kama house boy sasa kwani kazi zote zilikuwa zangu mama akienda shule. Hapo ndo mama hata afya yake ikiwa afadhali kwani alipata mda wa kupumzika. Baada ya miaka miwili nikapata nafasi ya kujiunga na college ya Printing and Press Operation, mama akauza ngombe mmoja ilinipate fees ya kujiunga, kweli nikajitahidi kadri ya uwezo wangu na baada ya miaka miwili nikahitimu kwa CREDIT jambo ambalo lilimtia mama furaha sana.
Mapenzi kama upofu fulani
Katika kupekua barua zake, mama akakuta barua ya zamani sana ikitokea Tanzania. Mama akapata wazo la kufatilia senders postal address ili kujua hatma ya Baba kwani kwa kipindi chote hichi hatujawahi kusikia lolote kutoka kwake. Mara nyingi tulifikir kwamba kafa. Akakusanya hela ya kutosha na kutuaga kwamba anakwenda kumtafuta baba. Alifanikiwa kuja hadi Dar es Salaam na baada ya kufuatilia mwenye anuani ya barua akabahatika kufika kwa Baba Mkubwa wangu. Baba alipatwa na shock ya kufa mtu baada ya kumkuta mama kule jioni aliporudi. Alishindwa cha kusema na kujielezea ikabaki ameduwaa. Baada ya maongezi na mealewano ikaeleweka kwamba lazima sisi (watoto) turudi kwenye chimbuko letu (TANZANIA) ukizingatia wote ni wakiume. Basi mama akarudi na kutupa habari yote, ilikuwa vingumu kuamini na kuelewa eti baada ya miaka Ishirini na Miwili tungeweza kuondoka na kuacha kila kitu lakini kutokana na kuweka furaha ya mama mbele ikabidi tukubaliane nalo.
BABA ANARUDI
Baada ya mwezi mmoja toka mama arudi toka Dar es salaam. Baba akawasili, lakini tofauti na mategemeo yetu alikuwa hafanani na mafanikio ambayo tulidhani angekuwa nayo baada ya miaka yote hiyo. Tukampokea na kuamini huu ndo mwanzo mpya wa maisha na familia kwa ujumla. Cha kushangaza wote wawili waliamua kuuza kila kitu ambacho mama yangu alikuwa nacho ilikuja Tanzania waanze upya. Hiyo kwangu ilikuwa dalili ya baba hayupo hali njema ki fedha. Tukauza kila kitu na kuhamia Tanzania. Fedha iliyopatikana ndiyo ikawa kianzio, ikumbukwe mama hajastaafu hivyo ukasukwa mpango ahamishiwe shule jirani na mpaka wa TARIME na KENYA ili aweze kumalizia miaka yake na kupata pension yake. Mama akawa anakwenda asubuhi Kenya anafundisha na jioni anarejea Tanzania. Mshahara wake ukawa unalisha familia kwa sababu Baba hana kazi, mshahara huo huo ukawa unatumika kuwalipia wadogo zangu shule za sekondari hapa Tanzania. Baada ya miaka miwili mama akaja na idea ya kuanzisha shule, ikabidi baba atumie uwenyeji wake na wakapata eneo, mama akatoa hela ikawa kodi ya jengo na baby care class ikaanzishwa. Mama akalazimika kupata mkopo ilikuwezesha Baby Class itabuke ikiwa pamoja na huduma zake, waalimu wawili, uji na chakula cha mchana vikawa vivutio vvya vya wanafunzi kuongezeka. Pakawa na ongezeko kubwa la wanafunzi hadi wazo likawa kuanzisha shule kubwa. Basi Mama aakarudi benki tena na kuchukua mkopo mkubwa zaidi, likapatikana eneo kubwa na majengo matatu yakajengwa.
Wazazi wangu walienda hatua moja mbele wakafunga ndoa kanisani, hili lilitokea baada ya kubaini baba anawatoto wengine hapa Dar es salaam. (3 watatu wakike 1 dume) baba alibisha sana na kumshawishi mama kwamba ili aamini yupo naye tu na hana mpango wa kado basi wafunge ndoa.. Mama alipostaafu pension yake ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba Baba akawa anaitamani. Akaanza visa kwamba haheshimiki kwenye familia kwa sababu hana kazi maalum, akaanza kumlaumu mama eti ndiye anayeharibu familia, eti anatushawishi sisi watoto tudharau baba. Haya yote kwa sababu baba anapenda sana pombe, mara kadhaa amekutwa na vimwana akijirusha, hadi disko, aibu kweli kwa mama na familia kwani wote ni watu wazima na mama ni mzee wa kanisa. Sasa sisi hatukulelewa katika misingi ya ulevi na kujirusha kiasi hicho lazim tutofautiane naye. Lakini hili likawa chanzop cha kuleta vurugu za kumnyima mama usingizi. Ili kumtuliza mama akamnunulia Canter ambayo angeweza kufanyia biashara ya kusafirisha samaki na mazao, yeye akawa akipata hela haonekani nyumbani analewa hadi mtaji, zikiisha analianzisha nyumbani ili apate hela na kuendelea na ufuska wake. Upande wa pili shule imehsakuwa ngumzo katika wilaya ya MARA, kwani hivi sasa ina Boarding na DAY hadi darasa la SABA, ina magari matatu ya kusafirisha watoto na zaidi ya yote matokeo yake yamekuwa ngumzo MARA nzima. Kwa miaka miwili mfululizo imekuwa imeshikilia nafasi ya kwanza wilayani na kufaulisha wanafunzi asilimia 85%. Credit zote ni kwa mama kwa sababu she has been behind the steering all the way. Baba kazi kubwa bi kunywa na kuspend. Anaiba hadi ATM kadi ya account ya shule na ku draw hela bila ridhaa ya mtu yeyote an kuspend anavyotaka.
Sasa ametangaza kwamba vyote ni vyake, nyumba, magari shule kila kitu ni chake. Anauwezo wa kufanya chochote awezalo bila ushauri wa yeyote yule. Mimi nimeoa na nina motto mmoja hapa DAR, mdogo wangu ameoa ni mwalimu na ana mtoto mmoja anaishi nyumbani tarime, mdogo wetu wa mwisho yupo SAUT Mwanza mwaka wa tatu. Kwangu na wote tunaamini huku nikumuonea mama kwani jasho lote ni lake.
SWALI LANGU NI JINSI GANI NITAMUOKOA MAMA ILI?
Kumuajibisha baba kwani ni dhahili siyo responsible but in human?
Mali ziwe salama?
Baba asiweze kuuza au kuingia mkataba wowote bila kuhusisha familia yote.?
Kumdhibiti baba asifanye vurugu?
Kuhakikisha nia ya mama kwamba vyote vifaidi watoto wa tumbo lake tu litimie.?