Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mimi nimesikitika mwenye mamlaka yote anashindwa kuchukua hatua kwa majizi na mafisadi alafu anaishia kulalamika na kuishia kuwaambia eti nawao watakufa na pesa zote wataziacha hapa duniani...😂🤣Mimi nimeshangaa wapigaji wa 40bil wanaamishwa ofisi floor ya juu na kupelekwa ofisi floor ya chini kabisa!.