Muombee Adui Yako Njaa; Maandamano Yanayoendelea Kenya Yawafurusha Watalii 800 na Kukimbilia Tanzania.

Mimi nimeshangaa wapigaji wa 40bil wanaamishwa ofisi floor ya juu na kupelekwa ofisi floor ya chini kabisa!.
Mimi nimesikitika mwenye mamlaka yote anashindwa kuchukua hatua kwa majizi na mafisadi alafu anaishia kulalamika na kuishia kuwaambia eti nawao watakufa na pesa zote wataziacha hapa duniani...😂🤣
 
Pole yao sana majirani... Vita ya panzi furaha kwa kunguru...
 
Tuachane na hayo,
Jamani I wish na Mimi nije kuwa mtalii kama hao wazungu ni mwendo waku Cruz across the world 🥰
Life is so beautiful
Seems unapenda adventure kama nipendavyo
 
Ila ujiandae na wewe kuombewa njaa siku moja na jirani yako ila usiokote mawe na kuyarusha kwake.😂
 
ni bure tu, TZ inakosa miundombinu bora kwa ajili ya Utalii
Hebu angalia hapa hii meli ilipotia nanga, ni hapo hapo meli za mizigo nk hutia nanga na hadi hapo haziwezi kuja hadi hiyo iondoke.
 
Watanzania wenyewe tunakerwa ma sehemu za starehe full upuuzi.

Mawaziri wanakenua tu
 
Tuachane na hayo,
Jamani I wish na Mimi nije kuwa mtalii kama hao wazungu ni mwendo waku Cruz across the world [emoji3059]
Life is so beautiful
Mbona waweza na bei sio kubwa kihivyo.

Angalia cruisers ambazo zinapita Afrika ie South Afrika au Uanzie safari Dubai
 
Bandari ya Malindi ilitakiwa iwe kwa ajili ya Utalii tu, Mizigo na masuala ya Abiria yalitakiwa viwepo maeneo mengine.
Nilibahatika kufika eneo jipya panapojengwa bandari mpya kule mangapwani, nadhani itapendeza ikiwa malindi pataboreshwa na kuwa special zone of tourism, sababu ni eneo tayari lina miundombinu na ni karibu na stone town ambayo ndilo eneo maradufu kwa utalii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…