Muonekano huongeza uwezekano

Muonekano huongeza uwezekano

Agree, na ukijijua umekamilika vizuri na kila kitu kimekaa vizuri (kwa wakina dada, nails done, hair did..)
Hata mood inakuwa nzuri.
 
MUONEKANO
Muonekano wako ni muhimu sana katika haya maisha yetu ya sasa. Kuvaa kwako ni muhimu sana na kunaongeza thamani ya utu wako. Kuna watu wanavaa tu ili mradi wamevaa lakini kuvaa vizuri kunakujengea mambo mengi sana kama kijiamini, kuheshimiwa na kuaminiwa. Kwa sababu mtu anakuamini kwa kiasi fulani kutokana na ulivyovaa na kupendeza hivyo basi rafiki yangu jitahidi kuvaa na kupendeza zaidi ili baadhi ya mambo yako yakae sawia.

UWEZEKANO

Muonekano kuongeza uwezekano ipo hivi:- Kutokana na kuvaa kwako na kupendeza vizuri kunakupa uwezekano wa jambo fulani katika kulifanya. Mfano unaenda kukuopa pesa, mtu cha kwanza ataangalia muonekano wako na ndipo atajua una uwezo wa kulipa au la. Hata ukikutana na mwanamke njiani tu na ukataka kumtongoza / ukamtongoza cha kwanza ataangalia muonekano wako kwanza jinsi ulivyovaa na kutokezea [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

[emoji117] Kumbuka unapotoka nje au unatoka na rafiki zako DRESS TO KILL aaaah vaa pendeza utajiamini na kujikubaliiiii [emoji94]

True Story[emoji118]

Nimekupata vyema mkuu
 
Jamani kwa nyie Maskini ni sawa tu mfanye ivo!! ila sisi Matajiri kwakweli ni shida!! ukivaa vizuri tu watu haoooo!! wanakunyenyekea saaana! Makanisani humo! lkn nikivaa kicheck Bob na kanda mbili raha sana watu hawanijui kabisaa mpaka foleni napiga!

Misibani/vikaoni nakaa kwa uhuru sana!! navotaka hakuna ile kuniheshimu saaaana! ila wachache wanastukia lkn pia wanadhania ni mdogo wangu tu huyo! au wana sema umefafanana sana na Predejsheee! smaki.

Nawambia tu Duniani wawili wawili! basiiii....ila wakinijua basi nakwambia LIFT hizo ntazopewa njiani humo si za Dunia hii!
 
Jamani kwa nyie Maskini ni sawa tu mfanye ivo!! ila sisi Matajiri kwakweli ni shida!! ukivaa vizuri tu watu haoooo!! wanakunyenyekea saaana! Makanisani humo! lkn nikivaa kicheck Bob na kanda mbili raha sana watu hawanijui kabisaa mpaka foleni napiga!

Misibani/vikaoni nakaa kwa uhuru sana!! navotaka hakuna ile kuniheshimu saaaana! ila wachache wanastukia lkn pia wanadhania ni mdogo wangu tu huyo! au wana sema umefafanana sana na Predejsheee! smaki.

Nawambia tu Duniani wawili wawili! basiiii....ila wakinijua basi nakwambia LIFT hizo ntazopewa njiani humo si za Dunia hii!
Mhhhh[emoji849]
 
Fanya yote haya lakini muonekano nadhifu haukamiliki kama hauli chakula vizuri na kunawiri mwili pia kufanya mazoezi ili yakuweke imara na kuwa katika mood nzuri muda wote.
 
Yani mimi ilikuwa ni stress tu, nilikuwa na stress kipindi hiko hatari...Nikakata nywele na sikuwa nazichana...Kwa kifupi niligeuka chokoraa kimuonekano!
Umefanya nkumbuke kipindi flan hivi aisee yaan stress kitu mbaya sana nlikuwa sijal hata nkawa npo kama sipo
 
Back
Top Bottom