Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
AC millan ,Inter Millan hawana uwanjaWakati huo timu kongwe Yanga na Simba hazina viwanja
San Siro ndio uwanja wao. Ni uwanja wa manispaa kama ilivyo KMCAC millan ,Inter Millan hawana uwanja
Hawana uwanja acha kupakapaka poda manenoSan Siro ndio uwanja wao. Ni uwanja wa manispaa kama ilivyo KMC
Hizo timu ni mradi wa CCM wa kuwapumbaza Watanganyika wasiwe na muda wa kuhoji pale nchi inapopigwa mnada.Wakati huo timu kongwe Yanga na Simba hazina viwanja
Kwa hiyo San Siro ni uwanja wa timu ganiHawana uwanja acha kupakapaka poda maneno
Nakazia hapa , wacheze tu wenyewe hatuna shida na picha sisi.Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!
Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!
Waliwasitiri mkashindwa kuwaheshimu. Azam Complex haikuwahitaji nyie kama nyie mlivyoihitaji.Nakazia hapa , wacheze tu wenyewe hatuna shida na picha sisi.
Money talk!Azam FC wameachia picha za muonekano mpya wa mabenchi ya wachezaji wa akiba, baada ya kufanyiwa maboresho.
View attachment 3186394
Azam FC wameachia picha hizo saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Uwanjani hapo.
View attachment 3186395
Mara ya mwisho Azam FC ilipocheza Azam Complex dhidi ya Fountain Gate, mabenchi yalikuwa katika muonekano wa kawaida.
View attachment 3186396
Ujumbe ulioandikwa katika kurasa za mitandao ya kijamii za Azam FC ambao umeambatana na picha hizo unasomeka: Azam Complex Is Ready. Uwanja wetu wa Azam Complex upo tayari kwa mechi ya mwisho ya kufunga mwaka 2024, wakati tutakapoivaa JKT Tanzania leo Ijumaa saa 1.00 usiku.
View attachment 3186398
Usiwe unawaza kilisu lisu kwa kila jambo🤣🤣Hizo timu ni mradi wa CCM wa kuwapumbaza Watanganyika wasiwe na muda wa kuhoji pale nchi inapopigwa mnada.
Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!
Hata alhaaly ya misri Haina uwanja.AC millan ,Inter Millan hawana uwanja
Ana aleji na CCM huyo.Usiwe unawaza kilisu lisu kwa kila jambo🤣🤣
Msenge kama wewe unapata wapi ujasiri wa kunijibu? Kalawitiwe huko.Usiwe unawaza kilisu lisu kwa kila jambo🤣🤣