Muonekano mpya wa Azam Complex, Uwanja wa klabu ya Azam

Asante kwa taarifa

Ila designer(s) wa hawa jamaa wanakula pesa tu, Azam walipaswa wawe na uwanja mkali sana + facilities nyingine...
 
Akili yao iko mbali sana..wanajiaandaa kuitumia fursa ya Afcon
 
Dah jf inavipanga walimu wazazi na kila fani hakika ww ni hazzina umeongea kwà experience ya hali ya juu na hili kila mmoja anajiona ana hatia tunataka kumiliki jkiwanda kikubwa kuliko more na baharesq lakin shining tukiipatA tumefanyia anasa
 
Napendekeza timu yetu ya Simba tuhamie Azam Complex.
Hapo KMC washakuja wenye nchi.
Hatuta toboa tukicheza uwanja mmoja nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…