Muonekano mpya wa Bob Junior unatia mashaka kidogo

Muonekano mpya wa Bob Junior unatia mashaka kidogo

Kipindi kile diamond anatembea na V8 ya chief kiumbe wanasema na yeye alilambishwa ile alamba alamba hahah.
Chief kiumbe ndio ilikuwa michezo yake na mzee wa shikorobo inasemekane chief alipita na mtaro
 
Chief kiumbe ndio ilikuwa michezo yake na mzee wa shikorobo inasemekane chief alipita na mtaro
Hahah chief kiumbe amepiga kazi sana hawa wasanii uchwara,mzee wa shikoroboo naona siku hizi ana discovery sijui nani anampa back up sa hivi.

Kuna yule jamaa wa moro alikua anaitwa merry balabuuu amewala sana kuanzia wakina blue,matonya etc ni balaa
 
Hahah chief kiumbe amepiga kazi sana hawa wasanii uchwara,mzee wa shikoroboo naona siku hizi ana discovery sijui nani anampa back up sa hivi.

Kuna yule jamaa wa moro alikua anaitwa merry balabuuu amewala sana kuanzia wakina blue,matonya etc ni balaa
Huyo mzee wa TOT na masheli yake mafuta kawala sana Hawa madogo kwa tamaaa zao
 
Hahah chief kiumbe amepiga kazi sana hawa wasanii uchwara,mzee wa shikoroboo naona siku hizi ana discovery sijui nani anampa back up sa hivi.

Kuna yule jamaa wa moro alikua anaitwa merry balabuuu amewala sana kuanzia wakina blue,matonya etc ni balaa
Ivi kweli au uzushi tu wakuu manake haingii akilini hata kidogo so karibia wasanii wote mitaro hakuna
 
Ivi kweli au uzushi tu wakuu manake haingii akilini hata kidogo so karibia wasanii wote mitaro hakuna
Hahah ni ngumu kuamini mkuu,lkn jamaa wanawafyatua sana tu maana wanataka maisha mazuri/magari wkt uwezo wao bado mkuu.
 
ka dowload beauty camera ila kazingua zaid na hivyo vinywel alivyoshusha na kulegeza jicho kazi ambayo angetakiwa mwmke afanye ivo
 
Hugo mbona in mchicha mwiba kitambo tuu..
Eyooo Babuuuuu kisoji.
 
Halafu wanaizalilisha sana dini yao, ebu angalia mashpoga mengi ni wa mlengo gani.....jibu kaa nalo
 
Back
Top Bottom