By the way hata nkisikia amekuwa bahasha wa mtu sitashangaaa kwa jinsi tabia zake zilivyo. Kafulia kupita maelezo anatembelea jina lake Tu ambalo halina nguvu kwa sasa nlikutana naye kama mara mbili kote ni kununuliwa chakula na mwanaume mwenzie, kuchukua magar ya watu tena anawasha taa ndan akiwa road ili wamuone, mda wote kichwa nje na kujisnap [emoji23]