Muonekano mpya wa Bob Junior unatia mashaka kidogo

Katika inshu chafu, Wazungu hawapendi kulaumiwa peke yao. Watahakikisha ulimwengu wote wameubadili ili jamii ilichukulie poa.

Na mbinu kubwa waidanyayo ni kuwateka vioo wa jamii kuwa mashoga au ku- promote ushoga.
Na bado tutasikia mengi sana kuhusu wasanii na wasio wasanii.

Juzi kati Mshana Jr alileta uzi wa wanawake wakiandamana uchi, watu wengi walidhani ni hadithi.
Huku Africa madhara ndiyo yatakuwa makubwa zaidi kuliko hata huko ulaya.
 
Huku wanaiga bila akili ndio mana kila kitu kinakua to the maximum
 
ana kamsemo kake mwenyewe anasema "bora umpe hamsini nzima kuliko mia mbovu"
 
Umeenda chaka hapo ulipotumia uzi wa mshana kama reference.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…