Wabongo wengi wanapenda sana mtu awe na jina kubwa halafu afeli aishiwe kabisa...
Ila akiwa katika peak ya carrier yake tuseme kama Diamond sasa hivi ... anafanya vizuri ila kuna mijitu imekaa inatamani tupate chidy benz wengine...
Ujumbe.... ni kwamba tuwasupport wasanii wetu wakiwa juu maana wakishuka huwa ndo byebye.. the same goes to them, ukiwa juu ukashindwa kutengeneza pesa usije kumlaumu mtu kama kina Daz baba