Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Chidi benz ulishinda battle nyingi saana kuanzia battle ya kutoka kuwa underground mpaka superstar wa hip hop bongo ulieweka kwapani tuzo kadhaa.

Ukuishia hapo tu, jukwaani na mtaani uliingia kwenye battle za ngumi kavu kavu bado kote ulishinda.

Nazijua beto kibao ambazo umefight na kushinda...C'moon Chid hii ishu ya madawa ni mchumba tu kwako kama wachumba wengine uliowakalisha kibabe...najua wewe ni dume jeuri. Ukiamua kweli kufight naye huyu madawa utamnyoosha mapema saana. Amua sasa dume.




Unga ni zaidi ya battle check ulivyomkalisha na unazidi kumshindilia
 
HUYU UMEME TU HAKUNA CHA SEMBE HAPA KUFICHA MAMBO ASEME ALIGUSA TRANSFOMA YA TANESCO AKIJARIBU KUIBA MAFUTA...
 
Child Benz unga kwel ni wakishenz,nkikumbuka ulivyokuwa mtem zile zako enzi,leo hata ben paul ukimzingua anakutia tu makwenz,ona kipaji kinapotea,chid mjin ulikuwa jogoo leo umekuwa mtetea ,hata ray c kwa poda namna hii akupotea,nyie kina sugu,prof jay hawa madogo darasa mnashindwa kuwagea,kuwa unga si kitu cha kuchezea,r.i.p mangwea
 
Inawezekana Na hili pia likawa sababu ya kuwa hivyo.
Huyu ngoma tuuh..! Mbona gada wanatumia waheshimiwa kibao na hawajawahi kuwa kama huyu, kuna mateja kibao wametumia miaka nenda rudi wanadunda licha ya kuwa na alosto shida huyu jamaa kitombi kakanyaga tanesco na gada ndiyo maana kapotezwa faster!
 
jamaa ameenda rehabilitation center (sober house) kwa msaada wa babu tale na kala pina.
 

Attachments

  • 1458659378825.jpg
    1458659378825.jpg
    25.3 KB · Views: 103
2016 ulikua mwaka mbaya kwa chid benzi ila 2017 apigane awezavyo aje upya na aache mwenyewe bila kusimamiwa na mtu yeyote sjui babutale, ajikane mwenyewe na roho yake ataacha tu tena napendekeza aswali usiku wa saa 8 maana toba yake itaskika kwa kirahisi sana na kufanyiwa kazi.

happy new year chid benz & members
 
Back
Top Bottom