wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wa dar mkuuhivi muonekano wa kistaa ni kuwa kike? angalieni vijana mtatolewa posa halaf mlalamike hapa
We jamaa Bwana" kwa hiyo ukiwa na mtoto bwabwa we huangalii usenge wake..akafir.....we ili mladi tu nyumbani papikike...acheni ushabiki wa kiboya jamaa anahitaj kupata ushauri wa hali ya juu.usi judge muonekano wake na maisha yake kwa ujumla we judge kazi zake na maendeleo aliyoyafanya kwa vijana wenzie kupitia vitega uchumi vyake kama tv redio record label na mengineyo
hata angekuwa choko sisi haituhusu ni uchoko wake mwenyewe ila tuangalie ishu positive alizofanya kwenye jamii.
yeye kasuka kabisa rasta mkuu wala si dreadlock hizohivi muonekano wa kistaa ni kuwa kike? angalieni vijana mtatolewa posa halaf mlalamike hapa
Amalizie kuvaa na bangili tujue mojaMsanii Diamond anapoelekea siko kabisa.
Kaanza kuvaa vikuku amehamia kwenye hereni ,daah anafeli sana ,tumeshampoteza huyu. View attachment 855476View attachment 855477
Msanii Diamond anapoelekea siko kabisa.
Kaanza kuvaa vikuku amehamia kwenye hereni ,daah anafeli sana ,tumeshampoteza huyu. View attachment 855476View attachment 855477
Dah si mtoto wa kiislam huyu? Tena ana jina la mmojawapo wa mawalii aliyekuwa sheikh maarufu sana kwenye historia ya dini? Astakafiru....!!!