HeheheMessi pesa yake ya chai ya asubuh ya siku moja anakulisha wewe na pagan kwa 10yrs asubuh mchana na ucku tena mkiwa mnakula chakula saaafi [emoji4]
King Messi
Criss brownLeo Messi, "La Pulga" Baba Thiago, Mchawi mweupe wa soka ameonyesha mashabiki muonekano mpya kuelekea msimu mpya ambapo ameweka blonde nywele zake hali hii imezua mjadala kwa mashabiki wke wengi wakichukuzwa na jambo ilo uku wengine wakimuthumu kwamba kaanza kamchezo kabaya cha kupumuliwa na wengine wakisema anazeeka vibaya
View attachment 370567
Mmh Messi Ni Mzungu wa Italy Babu yake Alihamia Argentina mwanzoni mwa karne ya 19 Japo Waitaliano hawako pure White kama Wa finland,Austria,German,British,Au Danish n.k Wazungu weusi weusi ni Wareno,Spanish na Waitaliano WengiMessi ni mzungu tangu link?
TAARUKI-: TAHARUKI
wazungu bhana, mwili una tatoo kama gazeti.. Huko kupumuliwa ??????*
Leo Messi, "La Pulga" Baba Thiago, Mchawi mweupe wa soka ameonyesha mashabiki muonekano mpya kuelekea msimu mpya ambapo ameweka blonde nywele zake hali hii imezua mjadala kwa mashabiki wke wengi wakichukuzwa na jambo ilo uku wengine wakimuthumu kwamba kaanza kamchezo kabaya cha kupumuliwa na wengine wakisema anazeeka vibaya
View attachment 370567
Messi is a king but CR7 ni god wa mpira
yan ni nje ya mada kabisa kutoka lini hadi link dyu.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni hatareee
Bora umemjibu huyu pungaMleta mada ni ****** Chuki zako na Messi hazimbadilishi kuwa King na haibadilishi Mmoroco kuwa punga