Muonekano mpya wa Ommy Dimpoz in baada ya kupata nafuu

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Muonekano mpya wa Ommy Dimpoz Baada ya Kupata Nafuu

Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amekuwa akipatiwa matibabu Afrika Kusini mara dada ya kufanyiwa upasuaji wa koo. Hizi ni picha za mwanzo kabisa za muimbaji huyo tangu alivyopata nafuu.
 
Good for him[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Awah akachochee kuni ... Nasikia wafanyakaz wamechoka sana kule ... Tangu juzi nilivyoenda ... Wanahitaji nguvu mpya
 
Aisee..........noma sana........kweli kapona kwa kweli....tena kapona kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…