Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Muonekano mpya wa Ommy Dimpoz Baada ya Kupata Nafuu
Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amekuwa akipatiwa matibabu Afrika Kusini mara dada ya kufanyiwa upasuaji wa koo. Hizi ni picha za mwanzo kabisa za muimbaji huyo tangu alivyopata nafuu.
Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amekuwa akipatiwa matibabu Afrika Kusini mara dada ya kufanyiwa upasuaji wa koo. Hizi ni picha za mwanzo kabisa za muimbaji huyo tangu alivyopata nafuu.