Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Huyu Mtoto Mlokole juzi tu alikuwa anatuhubiria injili ya Yesu hapa Sinza , anasali World Alive Ministry .
Huyu mtoto alikuwa kigoli na kifua kimesimama saa sita.
Huyu mtoto alikuwa na msambwanda mdogo wa kichokozi, si mnajua wachagga tena.
Huyu mtoto kwa sasa kapotea na Kamrudisha Yesu msalabani.
Matumizi sahihi ya msambwanda inafahamika, Sasa huyu mtoto sijui.
Hata mimi napenda mzigo wa kishkaji, huwa unaongeza munkari
Hakuwa nalo hapo nyuma.....???
Kama ameliweka basi anataka kututapeli *****Hilo wowowo kaweka kweli au editing??
Kama kaliweka atakua alikua anajichukia sana, from kifaranga to sekela mambo ni hiiviiiii
Tunawavurugaa tunawavuruga na vishuuunduKama ameliweka basi anataka kututapeli *****
Mkuu kumbe tupo wengi. Mm nakachukia haka ka nyama ndogo ila nyimbo nazielewaRuge anafaidi eee?
Japo sikapendi ila napenda nyimbo zake
hahaha,Huyu Mtoto Mlokole juzi tu alikuwa anatuhubiria injili ya Yesu hapa Sinza , anasali World Alive Ministry .
Huyu mtoto alikuwa kigoli na kifua kimesimama saa sita.
Huyu mtoto alikuwa na msambwanda mdogo wa kichokozi, si mnajua wachagga tena.
Huyu mtoto kwa sasa kapotea na Kamrudisha Yesu msalabani.
Matumizi sahihi ya msambwanda inafahamika, Sasa huyu mtoto sijui.
Hata mimi napenda mzigo wa kishkaji, huwa unaongeza munkari
kituko cha mwaka
Chura hatari sana
Jiulize tu..kalitoa wapi hilo wowowo ndani ya muda mfupi?Baada ya kimya cha mda mrefu ruby amukuja na muonekano mpya wa kimaumbile ambao unashawishi kumtazama kila akipita mbele yako, hakika zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo