Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a

Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a

iphone hata ya $699 ni ya moto kwenye perfomance.

uliishatumia samsung z2 tizen,ukaona balaa lake!!!
ile ilikua samsung inayotumia OS yao wenyewe,ilikuwa balaa,sasa google hawana cha kujitetea,UI la kizushi kabisa.
Mkuu acha uzushi.. pixel 6 pro material you ndani ya amoled display ni moja ya skin Ui iliyotulia sijapata kuona kwani wewe umeona pixel gani?
 
Mkuu acha uzushi.. pixel 6 pro material you ndani ya amoled display ni moja ya skin Ui iliyotulia sijapata kuona kwani wewe umeona pixel gani?

pixel 6 pro inatumia pure android au wameibadirisha??
 
Android kavu na iOS inatosha sana, mimi sielewi mtu mzima unataka ufanye customization ya fonts na upuuzi mwingi wa nini, kikubwa performance

ios usiifananishe na huo uchafu mkuu.

usinambie super skin haina mzuka katika matumizi,hii simu yetu hata perfomance sioni kama ina maajabu,na tulitegemea sanabu haina makorokoro itakuwa nyepesi sana na kuweza kubania ram kama apple,ila ndio vile.
 
ios usiifananishe na huo uchafu mkuu.

Natumia iOS na nshawahi tumia android ya hivyo nakwambia kila moja iko vizuri mahala pake usitoe kauli ambazo hazina macho

Mfano: AI...Google assistant ni super intelligent kama ni mtumiz wa voice commands tofauti na Siri ambae yuko lazy ukweli nasema
 

Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a umetoka, na inaonekana Google imeamua kuweka design mpya kama Google Pixel 6. Itakuwa ni style moja katika simu zake zote.

Simu hii mpya ya gharama ya wastani (mid-ranger), itakuwa na design mpya, kamera zitakuwa katika style ya mstari mmoja (style ya Visor); na itakuwa na kamera mbili na LED Flash. Pixel 5a ilikuwa na kamera upande wa kushoto.

Upande wa mbele, kamera ya selfie Pixel 6a itakuwa katika style ya hole-puch katikati ya kioo, tofauti na Pixel 5a ambayo ilikuwa na kamera ya selfie upande wa kushoto.

Another sad news kwa watumiaji wa Headphones ambazo sio Wireless: haitakuwa na sehemu ya kuchomeka pin ya Headphones kama ilivyo katika Pixel 5a.
Nmetoka tazama video ya mkbh alikuwa anaongelea hizi simu kumbe ishatoka. Anadai flagship za Google haziuzi sana kama hizi a ambazo zinakuwa cheaper kuliko flagship.
So wamekuwa na utaratibu wanatoa flagship halafu inakuja a series na cheap building materials lakini zikiwa na camera ya flagship na software experience ya flagship
 
Natumia iOS na nshawahi tumia android ya hivyo nakwambia kila moja iko vizuri mahala pake usitoe kauli ambazo hazina macho

Mfano: AI...Google assistant ni super intelligent kama ni mtumiz wa voice commands tofauti na Siri ambae yuko lazy ukweli nasema

kwenya ukweli nitaongea,mbona camera nimesema wazi pixel haina mpinzani.

huko tuendako ataachana tu na huo upuuzi,android one ya 1plus nadhani unaijua,ameediti kidogo bila kuiathiri sana lakini iwe na muonekano kiasi.
 
nop mkuu,unajua kwanini samsung anuza sana simu za android??
jibu ni kwamba ana kupa vingi kwenye simu yake.
huawei baada ya kuona hili akaiga,bahati mbaya yakamkuta mengine.

simu ili ivutie,tunaanza na muonekano(nje na ndani),halafu perfomance.hii simu hata ukiifungua ndan yaani namna inavyoonekana ktk apps inafaa uwe na roho ngumu sana kuielewa.
ukiangalia simu za google pixel hana cha kukupa zaidi ya camera,kila kitu mle ni utumbo wa bata.

apple anachomzidi samsung ni finnishing tu,ila design na UI samsung yuko league ya peke yake ukilinganisha na android wengine.
Finishing gani aliyonayo apple inayoizidi Samsung? Ipi?
 
Mkuu hardware Apple ama Iphone zina muonekano gani mzuri kuliko Samsung?

Ama kwenye hardware apple ana ubunifu gani mpya aliouweka kuliko Samsung?

sijasema uzuri mkuu,nazungumzia premium finishing
worldwide samsung anaongoza kwa design nzuri ya simu.
ila sio simu zinazotengenezwa katika mfumo wa kuvumilia shida mbali mbali,leo hii chukua s6 na 6s zipizokuwa mikononi mwa watu,utagundua s6 itakuwa imechoka zaidi na haitamaniki kuliko 6s.
 
sijasema uzuri mkuu,nazungumzia premium finishing
worldwide samsung anaongoza kwa design nzuri ya simu.
ila sio simu zinazotengenezwa katika mfumo wa kuvumilia shida mbali mbali,leo hii chukua s6 na 6s zipizokuwa mikononi mwa watu,utagundua s6 itakuwa imechoka zaidi na haitamaniki kuliko 6s.
Mkuu hayo ni matunzo ya mtu mwenyewe na sio simu.

Material za kutengeneza simu ni zile zile kwa kampuni zote za simu maana wanategemea kwenye supply chain yao.

Leo hii unaweza kukutana na mtu ana gari namba A iko kwenye hali nzuri kabisa wakati huo huo ukakutana na mwingine mwenye toleo lile lile la gari ila namba D na imechoka vibaya.
 
Mkuu hayo ni matunzo ya mtu mwenyewe na sio simu.

Material za kutengeneza simu ni zile zile kwa kampuni zote za simu maana wanategemea kwenye supply chain yao.

Leo hii unaweza kukutana na mtu ana gari namba A iko kwenye hali nzuri kabisa wakati huo huo ukakutana na mwingine mwenye toleo lile lile la gari ila namba D na imechoka vibaya.

nitajie samsung zenye metalic frame unazozijua.
 
Back
Top Bottom