Ndu wa kweru
JF-Expert Member
- Nov 18, 2021
- 445
- 1,120
kamati ya manunuzi imeshakula ........percent.kweli halina hadhi ya ligi kuu Tanzania.kombe hili ni la kushindaniwa na timu za mashirika ya umma na umiseta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante. Hilo kombe huwa ni kiongezeo tu sie kwetu kikubwa ni ile mikwanja tu.Hongereni Yanga
nadhani hii ni ngao kama ilivyo kwetu ngao ya jamii,unakumbuka kuna mwaka Simba alichukua ngao ya jamii ila waandaaji walikosea kuandaa jina.vipi na hili tuliiteje View attachment 2255889
Hilo ndio kombe la BUNDESLIGA ya UJERUMANI.nadhani hii ni ngao kama ilivyo kwetu ngao ya jamii,unakumbuka kuna mwaka Simba alichukua ngao ya jamii ila waandaaji walikosea kuandaa jina.
Simba wamechukua mara 4 mfululizo,mara 3 wanapewa mazima ,mara ya nne inakuwa lingine mpya,nadhani Yanga walitakiwa wapewe hiyo ya nne ya Simba sijui why wametengenezewa mpya.Inamaana lile simba kaondoka nalo
Kombe limekaa kama mashine ya kukamua miwa.
Hapa navuta picha hilo kombe litakuwaje maana mlima una vilele viwiliKwanini wasibuni kombe lenye umbo kama mlima Kilimanjaro.