Muonekano wa Kombe la NBC 2021/22

Simba wamechukua mara 4 mfululizo,mara 3 wanapewa mazima ,mara ya nne inakuwa lingine mpya,nadhani Yanga walitakiwa wapewe hiyo ya nne ya Simba sijui why wametengenezewa mpya.
Mdhamini mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…