SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na bado kuna kesi nyingine inaendelea na ndiyo imekaa vibaya sana kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado kuna kesi nyingine inaendelea na ndiyo imekaa vibaya sana kwake.
Na machalii watakuwa wamemfumua marinda kinoma huko jelaMuda wote wa kuzifaidi nyapu atakuwa ameumalizia Gerezani hahaa
Nyie maccm ni mataahira kabisa umbwa nyiehaya ndio matatizo yenu nyinyi nazichadema, mnashangilia na yakwenu yako motoni, kweli nyie ni big time fools
Weka na muonekano wa gaidi baada ya miaka 60
Kauli kama hizi ni za mtu aliyepagawa baada ya kupata matokeo sio!!hapa sio suala la uchadema wala nini, tuangalie uhuni alioufanya huyo sabaya, kwa mpenda haki yoyote yule lazima atafurahi kuona kuwa haki imetendeka, hata mimi mkulima kwa mwendelezo wa kesi ile nilijua kabisa endapo jamuhuri itatenda haki lazima tu hukumu ya hivi ingetokea tu!!sasa watu waache kufurahi kisa kuna kesi ya mbowe iko mahakamani bado?!!hizo ni akili?na hata kwenye rufaa ni ngumu sana, kuchomoka, kwani yeye aliyafanya hadharani kwa kumtegemea sponsor!! Hata kama mbowe atapatikana na hatia(japo kwa mimi mkulima)kwa nilivyoona tu maelezo ya watuhumiwa ktk kesi ndogo, iliyoanza ndani ya kesi kubwa, na taratibu zote za kuendesha kesi zikifuatwa, sitashangaa kuona wanashinda hiyo kesi!!na hakuna atakaye shangaa kwani kesi sio MAZINGAOMBWE, mfano hata kwenye hiyo ya huyo mhuni SABAYA, ya uhujumu uchumi inayoendelea sasa hivi huwezi kubashiri kuwa nako lazima tu atapatikana na hatia?haya ndio matatizo yenu nyinyi nazichadema, mnashangilia na yakwenu yako motoni, kweli nyie ni big time fools
Kumbe atakuta uteuzi tena
hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49Atatoka akiwa na miaka 54, sio 64.
Tuweke akiba ya maneno....
JELA HAINA MWENYEWE....
Akitoka atajiunga na Mashoga wenzake.Na machalii watakuwa wamemfumua marinda kinoma huko jela
Shame on u!!kama hujui kitu acha uelekezwe na nilifanya makusudi kutoa jibu hilo bila maekezo, nikajua NDEZI(kama nyie huwa mpo tu ili dunia izunguke vizuri kweny orbit yake!!dunia kote kwenye vifungo huwa kanuni inayotumika , ni kuwa mfungwa atatumikia 2/3 ya kifungo chake, na 1/3, hupunguzwa.ktk miaka 30, ukipunguza 1/3 ni miaka 10. Basi 30-10 atatumikia miaka 20 jela.hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Once more shame on u!!!!hapa sio fb, unapo kuja na povu la kumdhihaki mtu hasa kwenye hoja za kisheria/, jitahidi uwe unajua nini unachozungumzia!!!la sivyo unaonekana bonge la ndezi!!eti gerezani huesabia usiku na mchana hahaaaa!!labda huko mufindi!!lakini duniani kote kifungo anachotumikia mfungwa ni 2/3!!kuna majukwaa kibao ya kutoleana povu, mfano yale ya mipira yanga na simba!!nani ana timu nzuri, hata huna facts unaweza shinda kutokana na uwezo wako wa kubwbwaja, lakini sio huku kwenye facts.hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Unadhani hiyo miaka 30 Ni miaka 30 kweli gerezani hawahesabu miaka hivyo Kama unavyofikiria.... at the age of 64 sio mchezo. Hata njia ya nyumbani atakuwa ameisahau. Tenda haki ridhika na alichokupa Mungu.
Hapana mkuu sio usiku na mchana bali inahesabiwa theluthi mbili ya miaka aliyohukumiwa mtu.hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Kwa maana hiyo ni kwamba theluthi mbili ya miaka 30 ni miaka 20.Hivyo basi atatoka akiwa na miaka 54.hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Nyie ni wapuuzi tu hiyo miaka 30 ni jumla ya miaka katika makosa mengi aliyokuwa akituhumiwa nayo.Hii miaka yote anaitumikia kwa wakati mmoja hivyo kifungo hapo miaka mitatu tuKwa maana hiyo ni kwamba theluthi mbili ya miaka 30 ni miaka 20.Hivyo basi atatoka akiwa na miaka 54.
Na uzuri makosa ya kutumia silaha hata iwe kisu hayana parole.... at the age of 64 sio mchezo. Hata njia ya nyumbani atakuwa ameisahau. Tenda haki ridhika na alichokupa Mungu.
Huyu atakuja,kutolewa kwa misamaha anayotoa Rais