Muonekano wa Lengai Ole Sabaya baada ya kumaliza kifungo.

Kama ilivokua kwa babu seya aliehukumiwa maisha lkn alivikuja jiwe akamtoa basi subilieni atakuja mwingine na kumtoa mnamo 2025 au 2030. Tuendelee kua hai kwa uweza na kudra za mwenyezi Mungu.
 
haya ndio matatizo yenu nyinyi nazichadema, mnashangilia na yakwenu yako motoni, kweli nyie ni big time fools
Mbowe ni mtakatifu na shujaa mkubwa mithili ya akina Mandela dunia yote inafuatilia kwa karibu.
 
Hahaha! Hatari Sana.

Atakaporudi atakuta
1. Taifa Stars imechukua kombe la dunia mara 2.
2. Vichupi ndiyo vazi rasmi bungeni.
3. Ubakaji na kuvuta bangi ruksa.
Nimecheka balaa. Dogo agizia chochote hapo dukani kwa Mangi ntapitia baadaye na Renji yangu kulipia
 
nisamehe mkuu sikuwa najua nimejifunza
 
Miaka ijayo tutapata lirais kama lile pimbi lililopita na litatoa msamaha kwa sabaya
 
Nyie ni wapuuzi tu hiyo miaka 30 ni jumla ya miaka katika makosa mengi aliyokuwa akituhumiwa nayo.Hii miaka yote anaitumikia kwa wakati mmoja hivyo kifungo hapo miaka mitatu tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ww ndio yule mchumba wake nin khaaa?!,kwa jinsi ulivyopunguza hio miaka ila usijali mama cha msingi ww mtunzie
 
Sahihi kabisa
 
hata hesabu hujui kweli kama taifa bado tuna safari ndefu sabaya ana 34+30=64 kwasababu gerezani tunahesabu usiku na mchana ni siku 34+15=49
Hakuna kitu kama hicho Bali kuna mahesabu yanafanyiwa. Hilo la usiku na mchana ni maneno Tu.
 
34 + 30= ndiyo 54 kweli???
Hebu kuweni watu wenye kufuatitilia angalau hata robo ya michango inayokuwa imetolewa juu ya uzi fulani!!badala ya kurukia rukia mambo, kwani msingekuwa mnauliza uliza mambo ambayo yameshatotewa ufafanuzi.
 
Hahaha! Hatari Sana.

Atakaporudi atakuta
1. Taifa Stars imechukua kombe la dunia mara 2.
2. Vichupi ndiyo vazi rasmi bungeni.
3. Ubakaji na kuvuta bangi ruksa.
Simba bingwa mara 33 mfululizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…