Akinenepa nongwa akirudi mwili wake nongwa! DahMaskini, ameisha huyo....!!
Atanenepaje wakati utumbo ni kipisi?...akijaribu kujinenepesha utumbo unachanika!Akinenepa nongwa akirudi mwili wake nongwa! Dah
Namuonea huruma sana dada huyu....Daaaada kashindwa kuutumia ustaaa aliokuwa nao jamaniii kabaki story.
Hivi hii habari ya kukatwa utumbo ina ukweli wowote!??Na kisu Mkuu
Hivi hii habari ya kukatwa utumbo ina ukweli wowote!??
Mange ndio aliyesema "NYUMBU" kakatwa Utumbo ili apungue alisema mwanzoni mwa mwaka 2018 kati ya February kwenda April.Hivi hii habari ya kukatwa utumbo ina ukweli wowote!??
Mange ndio aliyese jma "NYUMBU" kakatwa Utumbo ili apungue alisema mwanzoni mwa mwaka 2018 kati ya February kwenda April.
Unataka na wewe ukakatwe?Unakatajwe
azae sasaMwanadada asiyeishiwa vituko Wema Sepetu (Tz sweetheart) baada ya kuamua kupunguza umbo lake huu ni muonekano wake mpya. Baadhi ya mashabiki zake wengine walimsifia kwa uamuzi aliochukua na wengine wakiendelea kumkejeli ya Kuwa Nyumbu sasa amegeuka Twiga.
Binafsi nakupa Hongera Wema hakika umependeza na muonekano wako mpya.
View attachment 978744
View attachment 978743
View attachment 978740
azae sasa