joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #81
Lakini ndiye anayepokea FDI Mara mbili zaidi yenu, mnalojua ni ukabila na rushwa pekee. Muda wote ni kuzungumza siasa za ukabila, miradi yote ya maendeleo imeshindikina.Nyingine hapa mauzo korosho yanapumulia kwa mashine,alafu we uko hapa kusifia ccm na jiwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]roboti za ccm vichwa mavi......jiwe anafikiria kufanya biashara ni kama kurun bedroom yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ldc vituko https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAAegQIBxAB&usg=AOvVaw1MqSQztG78zuVapcX57PnF