Muonekano wa Ole Sabaya 2051 baada ya kutoka jela utakuwa hivi.

34+30=64.

Makonda, Ali Hapi, Mzee wa Gwambina na wezi wezi wote mjiandae.
 
34+30=64.

Makonda, Ali Hapi, Mzee wa Gwambina na wezi wezi wote mjiandae.
Ni 34+15=49...

Hapo bado msamaha wa rais, huenda akakaa 5 tuu kisha akatoka akiwa na miaka 39, akiwa kijana kabisa[emoji23]
 
Duh, hapa umetisha! Sikufikiria itakuwa picha yenye vielekezi vyote kiasi hiki.

Na hapo itabidi ndiyo achumbie. Siku ya arusi yake, utasikia sauti za wapambe, 'Babu kapata mwana, mwana kapata babu, vigelegele'
Ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…