Uongo mtupu ,Tanzania haina pesa kama hizo za kujenga na kuikamilisha reli hii ya SGR had Morogoro.
Hali inazidi kupendeza, ujenzi umefikia 56%,. Ikumbukwe kwamba train hii ni sawa na kusafiri kwa ndege, hakuna kutikisika na inajengwa kwa pesa za watanzania. Karibuni sana majirani kuja kujifunza.
Uongo mtupu ,Tanzania haina pesa kama hizo za kujenga na kuikamilisha reli hii ya SGR had Morogoro.
Sio vichwa vigumu ni VilazaMwehu anayetaka contractor anunue treni inayofanana na ile ya kila mteja anayejengewa reli. Yeye ana kichwa/vichwa vyake anavyovitumia wakati wa ujenzi. Hiyo ni engineering test. Kwenye real testing and commissioning ndiyo tuulize ikiwa hazitatumika treni halisi. Kuna vichwa ni vigumu aisee.
Wataanza kuja magavana watafuata masenator 😁
Hali inazidi kupendeza, ujenzi umefikia 56%,. Ikumbukwe kwamba train hii ni sawa na kusafiri kwa ndege, hakuna kutikisika na inajengwa kwa pesa za watanzania. Karibuni sana majirani kuja kujifunza.
Ukapimwe AkiliUongo mtupu ,Tanzania haina pesa kama hizo za kujenga na kuikamilisha reli hii ya SGR had Morogoro.
Lazima kitu chochote kwenye ujenzi kabla hakijawa commissioned kipitie hizi hatua, hata rail yenu ilipita huku, tofauti tu ni kwamba testing equipment zilizotumika ndio hizo mpaka leo zinatumika baada ya commission.Lakini wabongo wanamambo. LOL!!! So you are using a locomotive to test rails for a bullet train!?
Uongo mtupu ,Tanzania haina pesa kama hizo za kujenga na kuikamilisha reli hii ya SGR had Morogoro.
Umelewa ww eeeg?!Lakini wabongo wanamambo. LOL!!! So you are using a locomotive to test rails for a bullet train!?
yana mavichwa magumu kama train zao[emoji23][emoji23][emoji23]Mwehu anayetaka contractor anunue treni inayofanana na ile ya kila mteja anayejengewa reli. Yeye ana kichwa/vichwa vyake anavyovitumia wakati wa ujenzi. Hiyo ni engineering test. Kwenye real testing and commissioning ndiyo tuulize ikiwa hazitatumika treni halisi. Kuna vichwa ni vigumu aisee.
Mwehu anayetaka contractor anunue treni inayofanana na ile ya kila mteja anayejengewa reli. Yeye ana kichwa/vichwa vyake anavyovitumia wakati wa ujenzi. Hiyo ni engineering test. Kwenye real testing and commissioning ndiyo tuulize ikiwa hazitatumika treni halisi. Kuna vichwa ni vigumu aisee.
Ukapimwe Akili
unazani Tanzania ni Kenya
uchumi wa kwenye makaratasi hamuwezi jenga hata 1km Kwa pesa yenu
pole sana
Umelewa ww eeeg?!
You might be drunk.
Ushaambiwa hiyo engineering test halaf kuna majaribio ya mkataba ambapo zitaletwa bullet trains
Ila kwenye chakula mnaendelea kufa njaa.Lkn tunaweza kuwekeza more than billion dollar katika elimu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unazani ndio nini sasa? Uchumi wetu sio wa LDC na treni/reli zetu zimekamilika nusu zamani kumaanisha Kenya ina fedha na uwezo mkubwa.Nyie ndio wenye bajeti nusu yetu.Ukapimwe Akili
unazani Tanzania ni Kenya
uchumi wa kwenye makaratasi hamuwezi jenga hata 1km Kwa pesa yenu
pole sana
Hahaha ,majaribio gani si hiyo SGR treni yenu ilipata derailment tuliona picha za imelala fofofo kando ya reli mpya? Ama unataka nilite picha?Mlitaka tuwa tag ilivyojengwa sentimita 1. Sasa ona majaribio. Itafika Mwanza mtaongea hivyo hivyo.
Hahaha ,majaribio gani si hiyo SGR treni yenu ilipata derailment tuliona picha za imelala fofofo kando ya reli mpya? Ama unataka nilite picha?
Ila kwenye chakula mnaendelea kufa njaa.