Hali inazidi kupendeza, ujenzi umefikia 56%,. Ikumbukwe kwamba train hii ni sawa na kusafiri kwa ndege, hakuna kutikisika na inajengwa kwa pesa za watanzania. Karibuni sana majirani kuja kujifunza.
Uongo mtupu ,Tanzania haina pesa kama hizo za kujenga na kuikamilisha reli hii ya SGR had Morogoro.