joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hali inazidi kupendeza, ujenzi umefikia 56%,. Ikumbukwe kwamba train hii ni sawa na kusafiri kwa ndege, hakuna kutikisika na inajengwa kwa pesa za watanzania. Karibuni sana majirani kuja kujifunza.