JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Licha ya mamlaka za Serikali kuendelea kutoza ushuru kutoka kwenye mabasi ya abiri yanayopita kwenye Stendi Kuu ya Wilaya ya Kondoa.
Mkoani Dodoma bado hali ya mazingira si mazuri.
Mabasi yanavyopita wakati wa kiangazi vumbi linalotimka hapo si la Nchi hii, wakati wa mvua napo matope ndio usiseme.
Serikali ya Kondoa na ya Dodoma kwa jumla zinatakiwa kufanya kitu, huo ushuru wanaokusanya wanaupeleka wapi au ndio wenye matumbo yao wanakula kama kawaida yao?
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa nyuma
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa nje
Wakati wa kiangazi mazingira ya vumbi
Mkoani Dodoma bado hali ya mazingira si mazuri.
Mabasi yanavyopita wakati wa kiangazi vumbi linalotimka hapo si la Nchi hii, wakati wa mvua napo matope ndio usiseme.
Serikali ya Kondoa na ya Dodoma kwa jumla zinatakiwa kufanya kitu, huo ushuru wanaokusanya wanaupeleka wapi au ndio wenye matumbo yao wanakula kama kawaida yao?
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa nyuma
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa nje
Wakati wa kiangazi mazingira ya vumbi