JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Machame Inv kateka soko la Dodoma-Kondoa-Kiteto-Kongwa. Wenyeji mmezubaaLicha ya mamlaka za Serikali kuendelea kutoa ushuru kutoka kwenye mabasi ya abiri yanayopita kwenye Stendi Kuu ya Wilaya ya Kondoa.
Mkoani Dodoma bado hali ya mazingira si mazuri.
Mabasi yanavyopita wakati wa kiangazi vumbi linalotimka hapo si la Nchi hii, wakati wa mvua napo matope ndio usiseme.
Serikali ya Kondoa na ya Dodoma kwa jumla zinatakiwa kufanya kitu, huo ushuru wanaokusanya wanaupeleka wapi au ndio wenye matumbo yao wanakula kama kawaida yao?
View attachment 2653627
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa nyumaView attachment 2653628
Muonekano wa Stendi ya Kondoa upande wa njeView attachment 2653631
Wakati wa kiangazi mazingira ya vumbiView attachment 2653632
View attachment 2653633
View attachment 2653635
Machame Inv kateka soko la Dodoma-Kondoa-Kiteto-Kongwa. Wenyeji mmezubaa
Ni kweli mkuu. Struggle, Kamwana na MJ wamebaki kutazama tu wapo hoi- nyag'anyang'a. Mtei na mwenzake Kimotco walishajifiaga zamani hizo.Machame anapiga pesa sana hizi kanda hakuna wa kumkaribia hata.
Huwezi tembea huku bila kumpa hela machame
My favorite transport Kwa njia ya Arusha ni machame kwanzaMachame anapiga pesa sana hizi kanda hakuna wa kumkaribia hata.
Huwezi tembea huku bila kumpa hela machame
Ukiwa unatokea wapi mkuu? (Safari ikianzia wapi)My favorite transport Kwa njia ya Arusha ni machame kwanza
Machame ni kama mwenyeji tu japo ni mchaga ila maisha yake yote amefanyia kondoa na hata kuzaliwa kazaliwa Kondoa so ni kama mwenyeji tu