Muongoza Kwaya Kanisani

Muongoza Kwaya Kanisani

bioto

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2017
Posts
1,261
Reaction score
2,097
Leo nilikuwa kanisani naongoza kwaya. Tulikuwa tukiimba wimbo wa ("mwili wangu ni hekalu la roho mtakatifu *2
mwili wangu ni makao ya yesu") kwa bahati mbaya ukaniponyoka ushuzi. Ushuzi ulikuwa unanuka sana hali iliyopelekea nishike pua kwa mkono mmoja huku mwingine nikiendelea kuongoza. Mchungaji huku anashika pua akawa analalamika "mtumishi, kweli mwili wako ni hekalu la roho mtakatifu ...? hiyo harufu umekula mzoga au nini ...??
 
Mkuu tumewaachia FB mfanye yenu kama hayo. Unaweza kutupia hii kitu FB? Humu watu washavuka age iyo
 
Ooohhh kumbe !!!.aya pole kwa ushuzi.

Ila siku nyingine jaribuu Ku standardize umri wako mpaka ufikie umri Wa watu wanaojielewa.
 
Back
Top Bottom