Habari wana jamii forum ...mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana na nikahitimu masomo yangu ya stashahada ya computer science....na kupata matokeo mazuri tuu ya first class...
Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa kwenye interview.....hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe angali bado nikiendelea kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti....
Mimi bado ni mgeni kabisa katika biashara hivyo basi ningependa kuomba kupata ushauri katika kupata muongozo huo....
Nimefanikiwa kupata mtoto na mpaka sasa ameshakuwa mkubwa kama miezi kadha hivyo ningependa kuwa naingiza kipato kwa ajili ya mwanangu.
Ningependa kufanya biashara ya kuuza nguo za watoto kwani naona hiyo ndio ntakayoimudu na inauhitaji mkubwa kwasababu watoto kila siku wanazaliwa so mahitaji ya nguo zao huongezeka.
Bila kuwapotezea muda...ningependa kuchukua nafasi hii kuomba ushauri juu ya muongozo wa biashara ya kuuza nguo za watoto...jinsi ya kuanza, nini kinahitajika na ninahitaji kuwa na mtaji wa kiasi gani ili kufanikiwa katika biashara yangu....na incase nikipata huo mtaji...ipi itakuwa sehemu nzuri ya kuweka duka langu....asanteni....naombeni maoni yenu....
Mpaka sasa sijabahatika kupata kazi na kuitwa kwenye interview.....hivyo basi ningependa kujiajiri mimi mwenyewe angali bado nikiendelea kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti....
Mimi bado ni mgeni kabisa katika biashara hivyo basi ningependa kuomba kupata ushauri katika kupata muongozo huo....
Nimefanikiwa kupata mtoto na mpaka sasa ameshakuwa mkubwa kama miezi kadha hivyo ningependa kuwa naingiza kipato kwa ajili ya mwanangu.
Ningependa kufanya biashara ya kuuza nguo za watoto kwani naona hiyo ndio ntakayoimudu na inauhitaji mkubwa kwasababu watoto kila siku wanazaliwa so mahitaji ya nguo zao huongezeka.
Bila kuwapotezea muda...ningependa kuchukua nafasi hii kuomba ushauri juu ya muongozo wa biashara ya kuuza nguo za watoto...jinsi ya kuanza, nini kinahitajika na ninahitaji kuwa na mtaji wa kiasi gani ili kufanikiwa katika biashara yangu....na incase nikipata huo mtaji...ipi itakuwa sehemu nzuri ya kuweka duka langu....asanteni....naombeni maoni yenu....