Siku hizi kuna wahind na waarabu wanao pangwa mzee wanajifanya ndo wenye magari halafu kwenye kadi unaona jina tuntufye mwakalebela ukiwauliza wanakujibu eti gari alimnunulia na lilisajiliwa kwa jina la msimamizi wa biashara zake kwa sababu alilenga ndio alitumie lakini baadae akaona alitumie mwenyewe kwani alilipenda hivyo huyo msimamizi akampa lingine. hii ndio bongo bwana.Sina uhakika zaidi ila kama unapenda mziki mnene kwenye gari yako gharama ipo very reasonable:
Gari ni gari tu.Kinachoangaliwa ni wewe kutojikuta Segerea ukiambiwa Uchunguzi unaendelea.Be good at legal sideYaani hata nanunua vitz niende kuulizia interpol hata wao watanishangaa
Nina plan za kununua gari binafsi ya kutembelea ila sijui ni mambo gani ya kuzingatia kabla y kununua gari! Naombeni ushauri? Au direct ya uzi unaoelezea hizi mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu niliwa mention kwenye hii thread. Ni watu ambao wana michango mizuri sana hasa inapokuja suala la magari. Lakini @Moderaor Invisible whoever has the power/authority kafuta hayo majina,sijajua nini lengo lake au siruhusiwi ku mention mtu kwenye thread!
[emoji3][emoji3][emoji3] dahSiku hizi kuna wahind na waarabu wanao pangwa mzee wanajifanya ndo wenye magari halafu kwenye kadi unaona jina tuntufye mwakalebela ukiwauliza wanakujibu eti gari alimnunulia na lilisajiliwa kwa jina la msimamizi wa biashara zake kwa sababu alilenga ndio alitumie lakini baadae akaona alitumie mwenyewe kwani alilipenda hivyo huyo msimamizi akampa lingine. hii ndio bongo bwana.
Anafikiri kesi ya wizi wa Vitz ni ndogo kuliko kesi ya wizi wa Prado.Gari ni gari tu.Kinachoangaliwa ni wewe kutojikuta Segerea ukiambiwa Uchunguzi unaendelea.Be good at legal side
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo subiri bei watakayokupa wao. Gari ikija inabidi uifanyie service na mi vizuri ubadilishe matairi. Battery mbovu haijifichi.Ninapenda kujua kuhusu ushuru wa tra kwa gari linaloagizwa
Unakuta CIF waliyotumia kwenye calculator yao ni ndogo kuliko ile nayonunulia, vp wataongeza ushuru kuendana na bei halisi au ndo faida kwangu??
Halafu hizi gari mpya zinapokuja zinakuwa "ready for drive" i.e oil, tairi, battery?
Kamwene , tunofu !!Anza kwanza na kampuni ya Toyota mkuu
IST
Spacio
Allex
Allion
Kamwene , tunofu !! Go
Hongera kwa hatua nzuri!Nahitaji kununua gari dogo la mizunguko ya kawaida na safari za mara chache kwenda mkoani! Bajeti ya 7mil to 12mil. Shida sijui nianzie wapi kwani magari siyajui na pia hata kuendesha kwenyewe bado sijajifunza. Anayejua gari nzuri zisizo na shida wala gharama kubwa ya kumanage!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante!Hongera kwa hatua nzuri!
Labda nikulize haya machache
1.Ni watu wangapi utakua unapakia mara kwa mara kwenye gari yako.
2.Hali ya barabara ya ulipo ni ya namna gani.
3.Umbali wa maeneo ambayo huwa unafanyia mizunguko mara kwa mara
Ningependa kujua hapo kwenye services za kufanya ni zipi hasa, nmeagiza na next month ntaifata dar ntashukuru kwa msaada wakoHapo subiri bei watakayokupa wao.
Gari ikija inabidi uifanyie service na mi vizuri ubadilishe matairi. Battery mbovu haijifichi.
Jengo gani maana TRA wapo sehemu nyingibulldog,
Sahihi kabisa ila shortcut ya documents ni TRA INVESTIGATION DEPARTMENT FLOOR NO 4 ROOM NO 1 TRA HEADQUARTERS, binafsi nina kesi inaendelea hapo ila sitaweka details zozote mpaka itakapokwisha.
Kupitia kesi yangu hii nimejifunza mengi sana, ndio maana nikasema huu uzi una faida tupu kwa wale watakaosoma na kuzingatia kila mchango