fungi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2014 Posts 2,539 Reaction score 4,672 Sep 23, 2016 #2 Mim pia ningependa kufahamu
T Tyupa JF-Expert Member Joined Aug 11, 2013 Posts 802 Reaction score 657 Sep 24, 2016 #3 Mganga mkuu wa wilaya husika atakueleza kila kitu bila ubabaishaji kwa sababu yeye ndie msimamizi wa huduma zote za afya kiwilaya.
Mganga mkuu wa wilaya husika atakueleza kila kitu bila ubabaishaji kwa sababu yeye ndie msimamizi wa huduma zote za afya kiwilaya.
U ustadhijuma JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 3,021 Reaction score 1,978 Sep 24, 2016 #4 Mkuu kuanzisha hospital inahitaji gharama kubwa sana!! jengo pekee litagharimu zaidi ya million 400...mi nakushauri anzisha dispensary au health centre hizi hazihitaji gharama kubwa sana
Mkuu kuanzisha hospital inahitaji gharama kubwa sana!! jengo pekee litagharimu zaidi ya million 400...mi nakushauri anzisha dispensary au health centre hizi hazihitaji gharama kubwa sana