Muongozo wa kuanzisha tawi la Yanga SC

fundi msati

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
216
Reaction score
91
HABARI WADAU,

Hususan viongozi, wanachama, wapenzi na mashabiki wa timu ya yanga na wapenda michezo kwajumla. Sisi tunakusudia kuanzisha tawi la yanga hapa maeneo yetu ila naomba anayejua taratibu za kufuatwa ili tawi litambulike na mambo mengi mengine kama uzoefu, sheria, taratibu na haki za msingi za tawi atujuze.

Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…