Mining inarequire gpu i run kwenye full load kwa masaa mengi... Overheating ina punguza lifespan yake......Hivi GPU zikitumika katika mining zinakuwa na matatizo yapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mining inarequire gpu i run kwenye full load kwa masaa mengi... Overheating ina punguza lifespan yake......Hivi GPU zikitumika katika mining zinakuwa na matatizo yapi mkuu?
Anhaa, sawa mkuuMining inarequire gpu i run kwenye full load kwa masaa mengi... Overheating ina punguza lifespan yake......
Haina pin zile za waya? Hio gpu1660ti inarun fresh tu nina mwanangu anatumia kma mwaka mpaka sasa.. Psu ni 300w........
Inayo anatumia sata to 6 pin adapterHaina pin zile za waya? Hio gpu
Hio ina convert Ile sata kwenda kwenye pin adapter sio?Inayo anatumia sata to 6 pin adapter
Mobo max ni watts 75 mkuu, hata kama itawasha Gpu kwenye load machine itazimaChief Hii imekaaje labda inaweza kuwa inatoa umeme wakutosha kwenda kwenye GPU ?View attachment 2401137
Gpu zimeporomoka sana bei now karibu online store zote zote yaani hata hii rtx 2060 unaipata kwa laki 4-5 now bila sheeping.Alafu naona kwenye psu Watts zake ni za kawaida Tu!View attachment 2395805
Agizia na PSU bongo mtihani kupata inayo jielewaGpu zimeporomoka sana bei now karibu online store zote zote yaani hata hii rtx 2060 unaipata kwa laki 4-5 now bila sheeping.
hii rx 580 ningeshaichukua lakini bado ishu inakuja kwenye PSU bongo ni za shida. so hapo kuna gharama nyingine itahusika ndio maana bado napata kigugumizi.
Kwan motherboard ni gharama Sana ukiagizia Kaka! Ukachukua na PSU yake huko huko tu!?Mobo max ni watts 75 mkuu, hata kama itawasha Gpu kwenye load machine itazima
Chini ya laki kwa H series ambazo zina bei ni Z series na B series ni kati kati.Kwan motherboard ni gharama Sana ukiagizia Kaka! Ukachukua na PSU yake huko huko tu!?
Basi inawezekana!Chini ya laki kwa H series ambazo zina bei ni Z series na B series ni kati kati.
4th gen chipset yake ni lga 1150.
Malyasia na Dubai (sababu kodi ni ndogo) hivi vitu ni bei rahisi sana, nimecheki now ni kama $25 tu kwa H61 na $38 kwa B85.
Ebay $26 kwa H81
Kwa ebay kama unaweza ongea na seller vizuri akaship huku si mbaya hio bei.
Kifupi chini ya laki bei si mbaya. Juu ya laki not worth it ku invest 4th gen.
Ellie umemaanisha Aliexpress? Hawana mawakala ila kuna kampuni ina kama ubia inaitwa speedaf mzigo unaletewa.Basi inawezekana!
Na vipi Ellie Xpress Wana mawakala hapa tz au ofisi
Kama ilivyo kikuu?
Shukran mkuu nimepitia nimepata kituMkuu pitia hapa kama una muda jamaa ameelezea vizuri sana
![]()
GPU Power Connectors Explained [Simple Answer] - GPU Mag
All GPU power connectors can be difficult to understand. Here's a simple explanation of the 6-pin and 8-pin connectors and how they differ.www.gpumag.com