Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel


budget hii huwezi pata mpya mkuu, ila ukiongeza kidogo around 700,000 hadi 800,000 unaweza ukapata laptop mpya ya i3 7100u hii itacheza games nyingi low setting. ukikosa hio i3 6100u pia sio mbaya sana au i5 6200u.


unaweza ukaenda youtube search HD 620 gaming ili uone perfomance yake kwenye games.

kwa used unaweza kutafuta za 4TH gen, hizi zinapatikana around 500,000 kwa i5 au i7, ukipata yenye gpu dedicated za nvidia au amd itakuwa vizuri zaidi.

mahala pa kuzipata ni kupatana, jumia, zoomtanzania na site nyengine za online, kuwa tu makini na matapeli.
 
Nimefurah sana kuuona uzi huu, samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo naomba msaada wako. Natumia Toshiba satellite c660-16c Intel celeron, juzi ilidondoka baada ya kudondoka ikawa nikitaka kuiwasha inaniletea ujumbe ufuatao "this windows failed to start, a recent hardware or software change might be the cause." tafadhali naomba msaada wako mkuu.
 
Nimefurah sana kuuona uzi huu, samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo naomba msaada wako. Natumia Toshiba satellite c660-16c Intel celeron, juzi ilidondoka baada ya kudondoka ikawa nikitaka kuiwasha inaniletea ujumbe ufuatao "this windows failed to start, a recent hardware or software change might be the cause." tafadhali naomba msaada wako mkuu.
uwezekano mkubwa ni HDD imecheza au imeharibika, ifungue then iweke sawa uone kama itatatua.
 
nimeshajaribu lakin naona tatizo bado lipo vilevile, naweza kupata HDD mpya kwa shiling ngap ?
30,000 mpaka 130,000 kwa 160Gb used mpaka 1TB mpya.

tafuta mtu mwenye external ipachike hio HDD yako uangalie kama bado ni nzima.
 
30,000 mpaka 130,000 kwa 160Gb used mpaka 1TB mpya.

tafuta mtu mwenye external ipachike hio HDD yako uangalie kama bado ni nzima.
Chief sory kwa ku interfere mjadala,,ivi mkuu hiii desktop GPU ya Nvidia GTX 1060,kwa hapa bei za bongo ni shingap kama unajua madili yake! naulizia hiii gtx 1060-3gb version sema sas kibongo bongo nahis itakuwa 1M

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief sory kwa ku interfere mjadala,,ivi mkuu hiii desktop GPU ya Nvidia GTX 1060,kwa hapa bei za bongo ni shingap kama unajua madili yake! naulizia hiii gtx 1060-3gb version sema sas kibongo bongo nahis itakuwa 1M

Sent using Jamii Forums mobile app
gpu ya dola 50 bongo unaweza ukaaambiwa 450,000, elimu ya hizi gpu ni ndogo sana na watu wananunua.

mtumie Mwl.RCT ananunulia watu vitu online,

hope unajua kwamba gpu zinaenda na power supply, ikiwa ndogo basi gpu haitaperform vizuri.
 
gpu ya dola 50 bongo unaweza ukaaambiwa 450,000, elimu ya hizi gpu ni ndogo sana na watu wananunua.

mtumie Mwl.RCT ananunulia watu vitu online,

hope unajua kwamba gpu zinaenda na power supply, ikiwa ndogo basi gpu haitaperform vizuri.
Nitoke nje ya hii mada kidogo


Ni kweli leo Apple wanatoa ios mpya?

Je itakuwa na mabadiliko gani?
 
Nitoke nje ya hii mada kidogo


Ni kweli leo Apple wanatoa ios mpya?

Je itakuwa na mabadiliko gani?
kila wakizindua iphone mpya muda huu wa mwaka wanatoa na ios mpya, hilo linajulikana mbona, kuwa na subira mkuu utaiona tu, sasa hivi utalishwa matangaro pori, hizi leaks sio 100% true nyengine zinakuwa kweli na nyengine fake.
 
mimi nimeamua ku invest on gaming pc kuliko hizi consoles like ps4,ps4 pro nk, ivi kwa pc c rahic kucheza new titles bureeee,au bora nichukue ps4 sema roho haitak kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom