Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #681
hizi aTom za kisasa zinaanziwa na N mwanzoni, za zamani kidogo zilikuwa zinaanziwa na Z na za zamani kabisa N pia.Mkuu hivi hizi core za Atom kifupi utazigundua kwenye processor zinazoanziwa na herufi gani na gani?
gpu ni processor ambayo inadeal na graphics tu, vitu vyote unavyoona vina mapicha na rangi nzuri nzuri ujue ni.kazi ya gpu, ukiangalia video, ukicheza games, uki edit video, user interface etc vyote hivyo hutumia gpu, jinsi gpu inavyokuwa kubwa ndio jinsi ambavyo hayo mambo yatafanyika kwa urahisi,Naomba nifahamishe kuhusu hii kitu gpu mkuu maana sielewi inakuwaje na pia utaiangalia mf. Kwenye laptop utakayotaka kuinunua?
Thanks a millions Chief [emoji122][emoji122]hizi aTom za kisasa zinaanziwa na N mwanzoni, za zamani kidogo zilikuwa zinaanziwa na Z na za zamani kabisa N pia.
mfano angalia i5/i3/i7 zilivyo
i3 6100u
i5 6200u
i7 6500u
then angalia Atom zilivyo
pentium N4200
Atom X7 Z8700
atom X5 Z8500 etc
zenyewe namba inaanza herufi kisha namba (N4200) wakati hizi core series zinaanza namba kisha herufi (4200M)
hio ndio tofauti ambayo naona ni rahisi kuijua.
ila jifunze ku google ukiona cpu kama hio unaeka google then unaiangalia specifocation utaona generation na nguvu zake.
tumia disk cleanup, nenda sehemu ya kusearch iandike itakuja, ifungue itakupa option mbali mbali za kuclear.Naomba kufaham namna ya ku clear caches kwenye window 10
ni 2A charger, kuihakiki zaidi chomeka simu yako kwenye charge kisha download app ya ampere uipime.Mkuu samahani hii charger hapa sjaielewa umeme ni 2A ama laah na ni fast charger au ya kawaida tu
View attachment 600345
mkuu pengine umeieka off hio touchpad, kabla hujawasha pc inakuwa haijui setting ndio maana inafanya kazi, ukiwasha zile setting zinatake place.Habari zenu wakuu,
Nina tatizo kidogo kwenye PC yangu.
Natumia HP ProBook 470 G2
Windows 8.1.
Naona ghfla touch pad imegoma kufanya kazi
Hai sense wala niki click hairespond, lakini wakati wa ku sighn in nikiwa nimewasha PC kabla sijaingiza password touch pad inafanya kazi vizuri tu.
Tatizo litakua nini?
Msaada tafadhali
Cc: Yoyote mwenye ujuzi.
Mkuu Chief hivi hii intel hd graphics 6000 ya macbook air 13inch inaweza kuhandle game zipi kati ya hizi au zote:gpu ni processor ambayo inadeal na graphics tu, vitu vyote unavyoona vina mapicha na rangi nzuri nzuri ujue ni.kazi ya gpu, ukiangalia video, ukicheza games, uki edit video, user interface etc vyote hivyo hutumia gpu, jinsi gpu inavyokuwa kubwa ndio jinsi ambavyo hayo mambo yatafanyika kwa urahisi,
kuona gpu kwenye sehemu ya kusearch ukiclick start kwenye pc andika dxdiag kisha kitatokea ki program, kiclick hicho ki program kitafunguka, nenda kwenye display utaona gpu yako.
ni hard disk hio ya laptop, ni original ya 500GB.Mkuu nina hiki kifaa kuna mahala nimekipata ila 9 naomba unisaidie je kifaa gani? Kinatumika kwenye laptop au desktop? Ni fake or Og ? Na je hapa kilipo kipo complete ama laah? Na bei yake kinavouzwa dukani.ahsanteh
View attachment 616407 View attachment 616407 View attachment 616393
hii comparison ya nguvuMkuu Chief hivi hii intel hd graphics 6000 ya macbook air 13inch inaweza kuhandle game zipi kati ya hizi au zote:
NFS The Run
NFS Rivals
Fifa 2017
Assassins creed
GTA V
Hitman
Rise of the Tomb raider
Tomb raider
Mortal kombat XL
The witcher 3
Manake nimetest NFS The Run naona iko fresh sana but before nilikuwa napush hizo game zote hapo juu kwenye laptop Envy i7 6700HQ, Graphics GTX 950m 4GB dedicated
But this Macbook is i5 5250U with intel hd graphics 6000
much respect Chief Mkwawa, ime solve tatizo nahisi nili disable bila kujua maana muda wote LED ilikua inawaka kwenye touchpad, shukrani.mkuu pengine umeieka off hio touchpad, kabla hujawasha pc inakuwa haijui setting ndio maana inafanya kazi, ukiwasha zile setting zinatake place.
angalia hapa jinsi ya ku disable na ku enable touchpad
http://visihow.com/Disable_and_Enable_the_touch_pad_of_HP_Probook
Okey thanks, sasa mkuu hivi hizi SSD za Macbook Air napata wapi ili niongeze aisee, maana hii ni ndogo sana it's about 128GB.hii comparison ya nguvu
-HD 6000 ina passmark score 832
-nvidia 950m passmark score 1721
hivyo hio nvidia ina nguvu mara mbili ya hio intel HD
mimi natumia HD 4600 na nimecheza GTA V, FiFA 17 vizuri tu, HD 6000 ni kama 30% more powerfull zaidi ya HD 4600, hivyo utacheza hizo game ila jifunze tu kucheza low quality.
mfano Fifa wachezaji wanaweza poteza sura zao kama gpu inazidiwa.
pia hapo sio GPU tu hata hio cpu yako inayoishiwa na U sio nzuri sana kwa games, compare na hio i7
jaribu kudownload game, ikiwa slow njoo tutaangalia namna ya kupunguza resolution
kwa TZ nyingi ni hizo hizo 128, na ukipata zaidi ya hapo bei itakuwa ghali sana, unaweza agizia online lakini.Okey thanks, sasa mkuu hivi hizi SSD za Macbook Air napata wapi ili niongeze aisee, maana hii ni ndogo sana it's about 128GB.
hizi hazipo kwenye hizi generation za i series, zinaingia hapo kwenye series za atom, generation yake inaitwa braswell,Ebwana VP,naomba unisaidie na hii yangu Intel pentium n3530 processor speed 2.1,hii ni generation ngap,na nguvu yake ipoaje
angalia aliexpress simu nyingi za kichina vifaa vyake vipo humo.Mkuu mimi simu yang imezingua screen haifanyi kazi hapa bongo nimekosa screen yake Bestbuy Easy Phone 5.5 Msaada wako mkuu kama unajua app yeyote ambayo naweza agiza na nikapata bila shida