Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Yenye herufi gani mwisho au sio lazima sana hili.
Za desktop mainstream hazina herufi kwa mbele mfano i7 3770.

Unaweza ukakutana na zenye herufi mbele kwenye desktop kama K (zinazo overcloack) T (zinazotumia umeme mdogo au hata G na R (zenye graphics nzuri) sema sio common sana, desktop chache hasa masoko yetu utazikuta hizo.
 
Hivi ina maana core i3 ya generation ya 6 ni kali kuliko i7 ya 4rth gen?!!!
 
Hivi ina maana core i3 ya generation ya 6 ni kali kuliko i7 ya 4rth gen?!!!
Cpu i7 ipo juu, kuanzia gen ya 8 ndio inabidi uwe makini ila gen za nyuma i7 itakuwa juu.

Ila kwenye Gpu za ndani gen za mbele zina gpu nzuri zaidi, mfano i3 6th gen yenye intel HD 530 itacheza games vizuri zaidi kuliko i7 yenye hd 4600.

Hivyo hapo inategemea. Kama una mpango wa kuwa na dedicated gpu i7 4th gen ni nzuri zaidi ila kama huna mpango wa kuwa na dedicated gpu tafuta hata i3 gen za mbele. Ikiwa i3 8th gen ni bora zaidi maana ina core 4.
 

Mkuu hapa dedicated na non dedicated gpu zinatofautiana vp kwa matumizi!?
 
Mkuu hapa dedicated na non dedicated gpu zinatofautiana vp kwa matumizi!?
Non dedicated ama igpu (internal gpu) inakuja na processor built in inakuwa kwenye package moja. Yenyewe imetengenezwa kufanya matumizi yako madogo yote kama kuangalia movies, kuconect monitor, kubrowse, etc

Dedicated gpu ipo separate na mara nyingi inatengenezwa na kampuni tofauti inakuwa na nguvu sana kushinda igpu sometime hadi mara kumi zaidi na pia inafanya mambo makubwa zaidi kushinda igpu. Mfano kudrive monitor nyingi sana,kucheza games kubwa kubwa, kufanya editing na animations,kurun software mbalimbali za proffesionals etc.
 

Nimekusoma mzee
 
ivo HQ kwenye generation ya saba na K kwenye generation ya 8 ipi iko juu
 
ivo HQ kwenye generation ya saba na K kwenye generation ya 8 ipi iko juu
K hata generation ya 4 ni nzuri zaidi kushinda HQ ya gen ya 7.

K ni ya desktop imetengenezwa kwa ajili ya overclock inatumia umeme mwingi zaidi mara nyingi watts 95 ama zaidi na ndio top of overall perfomance.

HQ ni ya laptop yenyewe inatumia watts kama 45 hivi kwa laptop za gen za zamani hii tunaweza kusema ndio top of line.

So inategemea na wewe mwenyewe unataka laptop ama desktop ni cpu ambazo zinakidhi mahitaji tofauti.

Ila kwa laptop kama unanunua sasa hivi tafuta zinazoishiwa na H mfano i5 8400H ama i5 8300H itakuwa na nguvu kushinda i7 zinazoishiwa na HQ za zamani sababu kwenye Gen ya 8 intel ameongeza core hizo i5 zina core 6 compare na HQ zilizokuwa na core 4.
 
Je hQ na MQ ipi iko vzuri zikiwa ktk same cpu + gen???

Sent from my SM-G935F using Tapatalk
 
Je hQ na MQ ipi iko vzuri zikiwa ktk same cpu + gen???

Sent from my SM-G935F using Tapatalk
MQ imekuwa discontinued siku hizi ila kwa zama zake hizo zenye M inamaanisha ni cpu ambazo zinachomoka, mfano una i5 4200m unaweza ukaitoa na ukaeka i7 4600m ama i7 4702MQ etc

Zenye Hq zilikuwa zinechomelewa kwenye motherboard kama ni i7 4700HQ utakaa nayo hiyo hiyo hadi laptop ife.

Kuhusu perfomance zinafanana.
 
Nimekulewa Chief kama jina lako

Sent from my SM-G935F using Tapatalk
 
Nina core i3 2350 processor 2nd generation kwa anayehitaji for laptop.
 
1. nimekutana na intel pentium N4200, 1.5ghz, acer nyembamba

2. nimekutana na core i5 2520M, 2.5 ghz, dell

3. nimekutana na intel pentium cpu 982, 1.5 ghz. sony nyembamba.

nichague ipi kati ya hizo mkuu, matumizi yangu makubwa nataka kujifunza programming.
hii dell graphics yake imekaa kizamani je inawezekana kuiupdate.

nataka nifanye maamuzi kabla ya kesho mchana
 

Attachments

  • WP_20190124_16_19_23_Pro.jpg
    49.4 KB · Views: 37
1. nimekutana na intel pentium N4200, 1.5ghz, acer nyembamba
Hii ni cpu ya kisasa ila ipo slow, itafanya mambo mengi ya kileo kama kuplay video za 4k, support ya codecs mpya, video editing ya quicksync etc sema sio powerhouse usitegemee kuweka software nzito yoyote ifanye kazi vizuri.

Advantage yake inakaa sana na charge.

2. nimekutana na core i5 2520M, 2.5 ghz, dell
Hii ina nguvu na gpu dhaifu ila nayo ni ya zamani,kama miaka 7 ama 8 iliopita hivyo tunaiweka kama used.

3. nimekutana na intel pentium cpu 982, 1.5 ghz. sony nyembamba.
Hii ni ya kizamani na inatumia umeme mwingi kuliko pentium N4200 hivyo naona kama haina maana kama unanunua laptop sasa hivi. Na jina nafikiri ni pentium 987 badala ya 982.

nichague ipi kati ya hizo mkuu, matumizi yangu makubwa nataka kujifunza programming.
hii dell graphics yake imekaa kizamani je inawezekana kuiupdate.
Hutaweza ku upgrade graphics, na bei ya hizo laptop ni ipi?na wewe una budget gani? Ili kama kuna option nzuri zaidi nikupe.
 
injinia asante
 
kuhusu budget isizidi laki 4 na nusu, bei zake kuanzia laki tatu na nusu
ahsante sana muheshimiwa kwa ufafanuzi na nimeamua kuachana nazo kwanza, leo nimekutana na hii jamaa kanianzia laki 4.
intel(R) core (TM) i5 CPU M520 @2.53 GHZ
 
kuhusu budget isizidi laki 4 na nusu, bei zake kuanzia laki tatu na nusu

ahsante sana muheshimiwa kwa ufafanuzi na nimeamua kuachana nazo kwanza, leo nimekutana na hii jamaa kanianzia laki 4.
intel(R) core (TM) i5 CPU M520 @2.53 GHZ
Hio ya sasa hivi ni 1st gen haina maana na hio laki 4 ni ghali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…