mamserenga
Member
- Feb 24, 2019
- 28
- 11
Nusra Mohammed? Kaa mbali tapeli huyo.Wakuu kuna mtu kutoka zanzibar anataka aniuzie Laptop HP PaVilion RAM 16GB, 2tb HDD Kwa 460K anaefahamu hizi bidhaa maana bei na uwezo wa PC Naona haviendanii kabisaa au ni fake product
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa pia ni mtandaoni au unamaanisha kwa video?Chief Mkwawa
Naomba utufungulie darasa kwenye mtandao mi binafsi nikotayari kukulipa ilihali nipate besic knowledge kwa tusio na muda wakukaa darasani kumsubiria mwalimu huku majukumu mengi yametubana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ya zamani sana, miaka zaidi ya 10 iliopita.
Hio error ungeieka hapa ingekuwa vizuri mkuu.Chief hivi kompyuta yangu ina ttz lakujizima ila inaniletea error kbl ya kuzima na baada ya hapo hujizima
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu core 2 duo ni za zamani sana, iki stuck umejaribu kutumia mouse ya nje?Mkuu Mkwawa Kuna huu mzigo mshkaji kaniletea
Dell E 6400 Series
Windows 10 Pro
Processor - Intel(R) Core(TM)2 Duo CPU P8600 @ 2.40GHz 2.40 GHz
Installed mem(RAM) 4 GB
System Type 64.bit operating system, x64- based processor
Name DESKTOP- TDF4UPS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini sana unapotaka kufanya biashara na wauzaji hasa wanaojinadi wako sijui zanzibar. Mwingine Tanga.. Ni heri ufanye na mtu ambaye uko nae eneo moja,unaenda unakagua na kujiridhisha.Wakuu kuna mtu kutoka zanzibar anataka aniuzie Laptop HP PaVilion RAM 16GB, 2tb HDD Kwa 460K anaefahamu hizi bidhaa maana bei na uwezo wa PC Naona haviendanii kabisaa au ni fake product
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief mkwawa mbona hajibu? au ashakufaChief Mkwawa
Naomba utufungulie darasa kwenye mtandao mi binafsi nikotayari kukulipa ilihali nipate besic knowledge kwa tusio na muda wakukaa darasani kumsubiria mwalimu huku majukumu mengi yametubana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap ila hatupati kwa mtiririko vile ambavyo ni basically hasa katika u obobezi wako mkuuMkuu hapa pia ni mtandaoni au unamaanisha kwa video?
Mkuu machine yangu imegoma kuwaka kisa nilikuwa naifuta na fom ya kusafishia. Nimepeleka kwa fundi, kaniambia motherboard imeungua. Nitapata wapi motherboard mpya?Achana nayo mkuu, ni bora utafute i3 generation za karibu kuliko i7 gen ya 2, hasa kwa laptop.
Unless hio laptop ina dedicated graphics. Kama Nvidia
Kwa hizi machine za kisasa kubadili motherboard mkuu ni sawa na kununua laptop mpya jiandae laki 6 hivi kupanda, nimecheki ebay zipo sema inabidi u double check mwenyewe exactly model ya motherboard yako maana same pc inaweza kuja na mootherboard tofauti.Mkuu machine yangu imegoma kuwaka kisa nilikuwa naifuta na fom ya kusafishia. Nimepeleka kwa fundi, kaniambia motherboard imeungua. Nitapata wapi motherboard mpya?View attachment 1053673View attachment 1053674View attachment 1053675
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitumia fom hii hapo chini. Nitafatilia zaidi.Kwa hizi machine za kisasa kubadili motherboard mkuu ni sawa na kununua laptop mpya jiandae laki 6 hivi kupanda, nimecheki ebay zipo sema inabidi u double check mwenyewe exactly model ya motherboard yako maana same pc inaweza kuja na mootherboard tofauti.
Pia usiridhike na maneno ya huyo fundi nimeangalia youtube naona kuna tutorial mbalimbali hadi za kusafisha wine, tulia chini cheki tutorial za kurecover pc yako unaweza ukapata idea tofauti kabla ya kufikia huo uamuzi.
Kama ulikuwa na guts za kusafisha hope kufungua vitu kadhaa sio tabu kwako.
Siifahamu, nature yake ni kama spirit sio? Inapotea baada muda fulani toka upakeNilitumia fom hii hapo chini. Nitafatilia zaidi.View attachment 1053763View attachment 1053764
Sent using Jamii Forums mobile app
Siifahamu, nature yake ni kama spirit sio? Inapotea baada muda fulani toka upake
Ingia my computer kisha right click kisha properties halafu isome full model ya hio i5.Habarii na Pc Hp folio RAM4,320Hdd,core i5 na processor 1.8Ghz inaweza ku install game kama FIFA,PES????.....MSaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitumia fom hii hapo chini. Nitafatilia zaidi.View attachment 1053763View attachment 1053764
Sent using Jamii Forums mobile app