Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Natafuta kioo cha hii HP
20190323_122345.jpeg
20190323_122238.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mkwawa Kuna huu mzigo mshkaji kaniletea

Dell E 6400 Series
Windows 10 Pro
Processor - Intel(R) Core(TM)2 Duo CPU P8600 @ 2.40GHz 2.40 GHz

Installed mem(RAM) 4 GB

System Type 64.bit operating system, x64- based processor

Name DESKTOP- TDF4UPS


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu core 2 duo ni za zamani sana, iki stuck umejaribu kutumia mouse ya nje?
 
Wakuu kuna mtu kutoka zanzibar anataka aniuzie Laptop HP PaVilion RAM 16GB, 2tb HDD Kwa 460K anaefahamu hizi bidhaa maana bei na uwezo wa PC Naona haviendanii kabisaa au ni fake product

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini sana unapotaka kufanya biashara na wauzaji hasa wanaojinadi wako sijui zanzibar. Mwingine Tanga.. Ni heri ufanye na mtu ambaye uko nae eneo moja,unaenda unakagua na kujiridhisha.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Achana nayo mkuu, ni bora utafute i3 generation za karibu kuliko i7 gen ya 2, hasa kwa laptop.

Unless hio laptop ina dedicated graphics. Kama Nvidia
Mkuu machine yangu imegoma kuwaka kisa nilikuwa naifuta na fom ya kusafishia. Nimepeleka kwa fundi, kaniambia motherboard imeungua. Nitapata wapi motherboard mpya?
IMG-20190324-WA0004.jpeg
IMG-20190324-WA0006.jpeg
IMG-20190324-WA0008.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu machine yangu imegoma kuwaka kisa nilikuwa naifuta na fom ya kusafishia. Nimepeleka kwa fundi, kaniambia motherboard imeungua. Nitapata wapi motherboard mpya?View attachment 1053673View attachment 1053674View attachment 1053675

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hizi machine za kisasa kubadili motherboard mkuu ni sawa na kununua laptop mpya jiandae laki 6 hivi kupanda, nimecheki ebay zipo sema inabidi u double check mwenyewe exactly model ya motherboard yako maana same pc inaweza kuja na mootherboard tofauti.

Pia usiridhike na maneno ya huyo fundi nimeangalia youtube naona kuna tutorial mbalimbali hadi za kusafisha wine, tulia chini cheki tutorial za kurecover pc yako unaweza ukapata idea tofauti kabla ya kufikia huo uamuzi.

Kama ulikuwa na guts za kusafisha hope kufungua vitu kadhaa sio tabu kwako.
 
Kwa hizi machine za kisasa kubadili motherboard mkuu ni sawa na kununua laptop mpya jiandae laki 6 hivi kupanda, nimecheki ebay zipo sema inabidi u double check mwenyewe exactly model ya motherboard yako maana same pc inaweza kuja na mootherboard tofauti.

Pia usiridhike na maneno ya huyo fundi nimeangalia youtube naona kuna tutorial mbalimbali hadi za kusafisha wine, tulia chini cheki tutorial za kurecover pc yako unaweza ukapata idea tofauti kabla ya kufikia huo uamuzi.

Kama ulikuwa na guts za kusafisha hope kufungua vitu kadhaa sio tabu kwako.
Nilitumia fom hii hapo chini. Nitafatilia zaidi.
IMG_20190324_120443.jpeg
IMG_20190324_120456.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mashine yangu laptop ilizingua keyboard nikapeleka kwa fundi,yaani baada ya kuifungua haiwaki mpka leo,inaonesha taa ya kuwaka,feni inazunguka lakini kioo hakipandishi..ni hp 650

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom