Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Elimu ni nzuri... asante kwa elimu mkuu.
 
ooooh...basi asate sana mkuu na vipi upokeaji wake mzigo ukifika kuna vituo maalum vya Allie express hapa bongo
Unapokea posta, mara nyingi wanakupigia simu ukachukue mzigo, hakikisha tu kwenye adress unaandika kila kitu sawa, namba ya simu, sanduku la barua, mji uliopo etc
 
Unapokea posta, mara nyingi wanakupigia simu ukachukue mzigo, hakikisha tu kwenye adress unaandika kila kitu sawa, namba ya simu, sanduku la barua, mji uliopo etc
saw mkuu Ila samahan kidogo nimejaribu kupitia Uzi wa jinsi ya kufanya manunuzi online nimeona wengi wakilalamika kuusu kuibiwa vitu vyao posta ni vitu gani muhim unaweza kuzingatia ukiwa unataka Fanya manunuzi kwa Allie express kwa mfano hii hapa
 
Kwanza kabla hujanunua gpu double check ukubwa wa case ya computer, urefu wake, upana etc

Kuhusu posta vitu vinaweza potea ndio sio 100% safe, ila muda mwingi vinafika hasa ukiweka details zote sawa.
 
Kwanza kabla hujanunua gpu double check ukubwa wa case ya computer, urefu wake, upana etc

Kuhusu posta vitu vinaweza potea ndio sio 100% safe, ila muda mwingi vinafika hasa ukiweka details zote sawa.
ooooh Ila kama ile ya kwanza nilio ionyesha kwangu inafunga mkuu
 
ooooh Ila kama ile ya kwanza nilio ionyesha kwangu inafunga mkuu
Ile ni pana, ukiwa na case ambayo pcie slot inakaribiana na powersupply inaweza isifit. Mara nyingi ina occupy slot mbili.
 
Broo Chief Mkwawa nianze kwa heshima zote kwako Kwa Juhudi na bidii yako tunayo faidika nayo Sisi Kwa Elimu nzuri yako.

Shida yangu Nina hii Comp ina sifa hizi lakini Kwa sasa nimejikuta na mtazamo Sana wa kutafuta Tablets kubwa yenye sifa ya Android, kusudi niweze kupata App nyingi kutoka Play store free na nyingine nyingi nzuri.

Napia nlijaribu kutumia Blue stack Comp ikawa slow na pia Graphics za ile android zilikuwa mbayaa na pia ku oparate ikawa shida baadhi ya App.

Je... Ni sawa sababu zangu kutokana na hii laptop kakangu....?

Pamoja hivyo naweza pia kutumia Software ngapi Kwa uwezo wa hiii PC Kwakuwa mi mtu wa Office na Adobe Kaka....?
 
Broo Chief Mkwawa nianze kwa heshima zote kwako Kwa Juhudi na bidii yako tunayo faidika nayo Sisi Kwa Elimu nzuri yako.

Shida yangu Nina hii Comp ina sifa hizi lakini Kwa sasa nimejikuta na mtazamo Sana wa kutafuta Tablets kubwa yenye sifa ya Android, kusudi niweze kupata App nyingi kutoka Play store free na nyingine nyingi nzuri.

Napia nlijaribu kutumia Blue stack Comp ikawa slow na pia Graphics za ile android zilikuwa mbayaa na pia ku oparate ikawa shida baadhi ya App.

Je... Ni sawa sababu zangu kutokana na hii laptop kakangu....?

Pamoja hivyo naweza pia kutumia Software ngapi Kwa uwezo wa hiii PC Kwakuwa mi mtu wa Office na Adobe Kaka....?
 
Hii pc ina nguvu ya kutosha kurun bluestacks ama emulator nyengine za Android

1. Hakikisha una latest drivers za graphics.

2. Ram yako ni 4gb, kama una uwezo upgrade hadi 8gb itasaidia.

3. Kama una ujuzi kidogo ingia kwenye bios angalia kama kuna option ya virtualization unatakiwa uiweke on hio husaidia emulators ama vifaa vyengine vinavyotumia VM kurun faster.

Pia unaweza jaribu emulators kama LD player, Momo player ama hata Nox kwa sasa ni maarufu sana kushinda Bluestacks
 
je kwa mfano kama hiii vipi inaweza ikakaa vizuri
 
oooh kwaiyo hata ile ya mwanzo itafunga mkuu maana hata bei kidg zile zinalizisha
Siwezi kukupa jibu 100% mpaka nione ndani ipoje

Ama unipe full model ya pc nicheki online
 
Siwezi kukupa jibu 100% mpaka nione ndani ipoje

Ama unipe full model ya pc nicheki online
na nilikuwa nataka kujua kidgo kuusu hii graphics card gtx 1050 4gb ddr5 nimeona ni kubwa alafu bei cheep so kuna chochote hapo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…