Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,221
ndio hii pia ni option, phoenix os, android x86 etcAu kwanini asiiweke tu na os ya android moja kwa moja. Awe anaamua tu kuboot kupitia windows au android. Si inawezekana siku hizi pc kuweka os ya android.
Yaah hasa phoenix osndio hii pia ni option, phoenix os, android x86 etc
Nakuwa nimemaliza kila kitu sio?
Sahihi, Ni swala la kusubiria bidhaa ifike nchini.Nakuwa nimemaliza kila kitu sio?
Nenda kadownload to os ya android ambayo ipo compatible na computer moja kwa moja gb 3.9Broo Chief Mkwawa nianze kwa heshima zote kwako Kwa Juhudi na bidii yako tunayo faidika nayo Sisi Kwa Elimu nzuri yako.
Shida yangu Nina hii Comp ina sifa hizi lakini Kwa sasa nimejikuta na mtazamo Sana wa kutafuta Tablets kubwa yenye sifa ya Android, kusudi niweze kupata App nyingi kutoka Play store free na nyingine nyingi nzuri.
Napia nlijaribu kutumia Blue stack Comp ikawa slow na pia Graphics za ile android zilikuwa mbayaa na pia ku oparate ikawa shida baadhi ya App.
Je... Ni sawa sababu zangu kutokana na hii laptop kakangu....?
Pamoja hivyo naweza pia kutumia Software ngapi Kwa uwezo wa hiii PC Kwakuwa mi mtu wa Office na Adobe Kaka....?
sasa mkuu akikuagizishia si kuna chochote mkuu cha posho hapoMkuu yupo Mwl.RCT na mr mobile wanaagizishia ukitaka.
Pia kuagizishia mwenyewe si ngumu unatafuta tu line ya Airtel ama voda unatengeneza credit card halafu unatengeneza Account Aliexpress na kujaza details muhimu kama namba ya simu na sanduku la barua, kisha unanunua na kusubiria siku 20 mpaka 40.
Ila kwa ushauri usianze na gpu, anza na kitu kidogo cha bei rahisi kama memory card, earphone etc.
Pitia na hapa kupata maelezo zaidi
Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni
yap kipo,sasa mkuu akikuagizishia si kuna chochote mkuu cha posho hapo
Mkuu kwa hyo bei ni halali kweli????yap kipo,
Wakuu wangu je...?Au kwanini asiiweke tu na os ya android moja kwa moja. Awe anaamua tu kuboot kupitia windows au android. Si inawezekana siku hizi pc kuweka os ya android.
Ndio ni halali kama hio laptop ni mpya, kama ni used bei ghali.Mkuu kwa hyo bei ni halali kweli????View attachment 1567822
Kwa nchi za wenzetu wifi ni unlimited, hivyo simu ama computer iki conect na wifi kama kuna updates za apps ama os zinatumika ku upgrade automatic bila kukuuliza, vitu hivi havifanyiki ukiwa unatumia mobile data.Wakuu wangu je...?
Ni vipi Kwa kuisha Kwa bando Kwa speed kubwaa hasa ukitumia router WiFi device uka tumia wasap web ulio scan simu na Pc yako
Ile ukichart wasp au Telegram dk chachee tuu bando loteeee kwishaaa tena GB na ma Gb.
Je kuna uhusiano gani kwenye hili wakuu wangu
Ivi mkuu Una office yako mahali nijee Kwa msaada zaidi.Kwa nchi za wenzetu wifi ni unlimited, hivyo simu ama computer iki conect na wifi kama kuna updates za apps ama os zinatumika ku upgrade automatic bila kukuuliza, vitu hivi havifanyiki ukiwa unatumia mobile data.
Kwetu inakuwa shida maana wifi zetu ni za kuunga vifurushi, os ama apps ziki update gb za kutosha zinapotea.
Solution ni kuzima hizo updates ama kuset metered connection kwenye pc yako.
Hizo ni update za windows mzee baba.Wakuu wangu je...?
Ni vipi Kwa kuisha Kwa bando Kwa speed kubwaa hasa ukitumia router WiFi device uka tumia wasap web ulio scan simu na Pc yako
Ile ukichart wasp au Telegram dk chachee tuu bando loteeee kwishaaa tena GB na ma Gb.
Je kuna uhusiano gani kwenye hili wakuu wangu
Mil5 hapati pc yenye rtx 2080ti na 9th gen kweli?Ndio ni halali kama hio laptop ni mpya, kama ni used bei ghali.
Sema kwa uzoefu wangu kuna utofauti mdogo sana baina ya i5 na i7 kwenye laptop. Hapo unalipa premium ya ram, ssd kubwa, na hio i7 gen ya kizamani.
Kama upo serious na una milioni 5 subiria hizi laptop mpya za tiger lake, ni nzuri kushinda kitu chochote sokoni kwa sasa unapata laptop bei rahisi ikiwa na perfomance kubwa na graphics za maana bila kutumia dedicated gpu.
Otherwise nunua i5 na Gtx 1050 kwa around 1.5m kisha upgrade mwenyewe ssd na ram kwa bei rahisi.
Fafanua kidogo hapo tiger lake mkuu.Ndio ni halali kama hio laptop ni mpya, kama ni used bei ghali.
Sema kwa uzoefu wangu kuna utofauti mdogo sana baina ya i5 na i7 kwenye laptop. Hapo unalipa premium ya ram, ssd kubwa, na hio i7 gen ya kizamani.
Kama upo serious na una milioni 5 subiria hizi laptop mpya za tiger lake, ni nzuri kushinda kitu chochote sokoni kwa sasa unapata laptop bei rahisi ikiwa na perfomance kubwa na graphics za maana bila kutumia dedicated gpu.
Otherwise nunua i5 na Gtx 1050 kwa around 1.5m kisha upgrade mwenyewe ssd na ram kwa bei rahisi.
hapana sina ofisi,Ivi mkuu Una office yako mahali nijee Kwa msaada zaidi.
Maana dah natamani Sanaa nikufaham
hapati, 2080ti yenyewe ni around 3m, ukijumlisha na cpu inakaribia hio 5m, hapo hujaanza ram, mobo, psu etc.Mil5 hapati pc yenye rtx 2080ti na 9th gen kweli?
Maana kwa uwezo wa hiyo pc naona bei zake hazizidi mil 3 - 3.7.
hawa intel kwa muda mrefu gpu zao zilikuwa ni dhaifu compare na nvidia ama Radeon (Amd), hivyo na wao wakawa wanajipanga kucompete kwenye upande wa graphics, walichukua hadi ma injinia toka Amd, na zao la kwanza la gpu zao linaitwa xe gpu zitakazokuja na gen ya 11 ya cpu zao aka tiger lake.Fafanua kidogo hapo tiger lake mkuu.
Ohoo so tutegemee ushindani na kushuka bei kwa nvidia na kwa AMD. Hata hivyo amd device zao cheap sana.hawa intel kwa muda mrefu gpu zao zilikuwa ni dhaifu compare na nvidia ama Radeon (Amd), hivyo na wao wakawa wanajipanga kucompete kwenye upande wa graphics, walichukua hadi ma injinia toka Amd, na zao la kwanza la gpu zao linaitwa xe gpu zitakazokuja na gen ya 11 ya cpu zao aka tiger lake.
pia upande wa cpu muda mrefu waliganda kwenye 14mm wenzao kwenye simu ama hata pc kama Amd wamefika 7nm na sasa wanaenda 5nm, hii tiger lake nayo itakuja na manufacturing process ya kisasa 10nm (equivalent ya 7nm ya wengine) hivyo nguvu ya hii cpu ni kubwa na ulaji wa umeme ni mdogo.
so laptop za hii gen ya 11 kwenye package moja unapata cpu na gpu nzuri bila kununua laptop ya bei ghali yenye nvidia.
zimeshazinduliwa ila bidhaa bado kuingia sokoni, zimezinduliwa mwezi huu.