Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,281
Ndio unaweza ukatoa hdd na kuweka ssd bila madhara yoyote. Na zipo computer ambazo zinaingia ssd na hdd kwa pamoja.Nina swali lingine
Je mfano nimenunua PC yenye HDD inawezekana nikaitoa hio HDD nikaweka SSD bila kuleta madhara yoyote
Au HDD kwa HDD na SSD kwa SSD tu ?
Shukrani bossNdio unaweza ukatoa hdd na kuweka ssd bila madhara yoyote. Na zipo computer ambazo zinaingia ssd na hdd kwa pamoja.
750ti? Shingapi imekugharimu?
Intel gen ya 8 ipi? I3 amaJe kunatofauti gani Kati ya processer ya intel generation ya 8 na core ¡3 generation ya 4
Kuna hp inauzwa hapa ni intel generation ya 8
Sijui itanifaa nimpya imetumika mwaka mmoja
Kutakuwa na mahala wameandika model yake mkuu, jaribu kuingia my computer kisha right click kisha properties.Ni intel ya kawaida Ila processer yake ni intel pia
235,000/= mpaka inafika750ti? Shingapi imekugharimu?
Sorry mkuu,Intel gen ya 8 ipi? I3 ama
Hapo hakuna maelezo ni radeon ipi na ni i5 ipi
Hii ni gen ya 7 halafu used achana nayo.Jamaa anataka nimpe laki nane? Munasemaje wadauView attachment 1609539View attachment 1609540
Nashukulu kaka. ila nafikilia kuunda desktop computer itakuwa poa zaidi au?Hii ni gen ya 7 halafu used achana nayo.
Kwa hio bei bora uongeze kidogo uchukue 10th gen mpya i3 ambayo ina nguvu zaidi.
Hizi generation za 10 kwa core i3 zinapatikana bongo??Hii ni gen ya 7 halafu used achana nayo.
Kwa hio bei bora uongeze kidogo uchukue 10th gen mpya i3 ambayo ina nguvu zaidi.
Ndio mkuu zipo nyingi sema gen ya 10 tofauti na gen nyengine zipo aina mbiliHizi generation za 10 kwa core i3 zinapatikana bongo??
Desktop ni muhimu sana mkuu kama umeshajitosheleza. Sababu itakuwa mama wa vifaa vyako vyote kama TV, simu, Tablet, gaming console etc. Sio idea mbaya.Nashukulu kaka. ila nafikilia kuunda desktop computer itakuwa poa zaidi au?